Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Haukuwa uchaguzi bali ulikuwa ni uchafuzi wa demokrasia!
 
Sasa kama watafurahishwa na uamuzi wa wazungu, je itawasidia nini wao ktk kutimiza adhma zao?

Nani atakae umia kati yao,magufili na raia wa kawaida?Je magufuli atajiuzuru uraisi?
 
Kumchinja Askari na kunyang'anya bunduki yake ni tendo la kinyama kabisa..kilichotokea kabla ya tukio hili kamwe hakiwezi kuhalalisha kitendo hiki kiovu na Cha kishetani...na hii siyo Mara ya Kwanza kwa unyama huu kufanyika huko Pemba...
Ili twende sawa katika kuiponya nchi lazima tuwe wazi. Tueleze kile kilichofanywa na polisi hadi wananchi wahalalishe kumtoa uhai mlinzi wao. Maana kwenye ugomvi hata mume anaweza kumng'a mkeo kama mbwa.

Hata mjumsi ukimkibiza sana anaweza kugeuka nyoka , hata paka ukipiga sana kwenye chumba kilichofungwa mlango anaweza kugeuka chui. Ili tupime tupate picha ya pande zote
 
Sidhani kama neno kulazimisha lina ukweli wowote. Kama hufanyi testing huwezi jua kama tatizo lipo au halipo. Au umejuaje kama halipo ? Mie naishi kwenye maeneo ambayo ni hotspot za corona virus.

Ni ukweli kama Tanzania na nchi nyingi za Africa covid-19 haliwezi kuwa janga kutokana na hali ya hewa yake kuwa ya joto. Hii inaweza kuwa na ukweli (sina uhakika kama ni fact joto na covid). Lakini sikubaliani na wazo la kutofanya testing. Bora kufanya testing na kuona kama zote ni negative ili kila mmoja ajue kama hakuna tatizo.
 
Unafiki wa Gentamycin Mara amsapoti Jiwe Mara amkandie au na yeye inategemea ameamkaje siku hiyo Kama mwenyekiti wake alivyo ?
 
Ni elimishe jambo, Je kunatatizo kupokea msaada kwa ajiri ya kupambana na Covid-19 afu tunabaini ya kwamba Covid-19 haipo, kisha tukaamua kubadirisha matumizi ya pesa hizo?
Kuna tatizo. Huwezi kubadili matumizi ya hizo fedha bila ya kupata idhini ya mtoa pesa.
 
Nyerere alisha wahi kurudisha msaada wa fedha na kukataa misaada mingine kutoka Jumhuri ya Shirikisho la Ujerumani baada ya kupewa sharti la kuvunja uhusiano na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Ujerumani...
Hakuwa Mkaidi.. alikuwa anajitambua na hakuwa tayari mtu adictate maisha yake kisa misaada.
 
Kumbe alijua kimbunga kinakuja ndio maana akamteua kabudi chap chap,unfortunately kabudi Hana uwezo huo wa kupambana ktk crisis kubwa ya kidiplomasia kama hii. Tumuangukie mzee wa msoga kwa hili.
 
Kwani wewe hujui kuwa zilinunulia yale ma-VX ya kijani?
 
"Watanzania mnahitajika mfundishwe uzalendo kwa lazima" kama wanavyofanya North Korea Maana hali inatisha sana

Nasemea uzalendo sio UCCM
 
Reactions: nao
Ndio mnaamua kuwapiga risasi,kuwateka au kuwaua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…