cyrustheemperor
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 293
- 354
Nikikuambia hela ya Corona ndio tumefanyia uchaguzi how do you digest that?Wanapiga kelele haki za binadamu wakati wanatuona sisi ni kama nyani, ata tujitawale wenyewe kama nyani. Tutapata hela kwa vyanzo vyetu wenyewe, tuliwaonyesha mfano kwa kukataa hela zao za kuendesha uchaguzi. Si uchaguzi ulifanywa ?
Pesa za corona ndizo zilinunua nyungu Tangawizi limau kwa watanzania?Hata Kama hakuna Corona,pesa zimetumika zaidi kwenye Kinga! Na Kama ujuwaavyo Kinga ni bora zaidi kuliko Tiba!!
Ushuzi mtupu.Uchwara ni yule aliyesigina uchaguzi mkuu kipumbavu
Jiandae tu komredi. Kuna la ICC Hilo linakuja alafu Biden anakuja kupigilia msumali hapo January πππKamanda uchwara. Amsterdam anasemaje huko?
Waneitumia pesa ya corona kufanya wizi wa kura siyo?Nikikuambia hela ya Corona ndio tumefanyia uchaguzi how do you digest that?
Mie hofu yangu hali ya chamwino tu, baada ya huu mjadala hali ya mzee ikoje huko?πKamanda uchwara. Amsterdam anasemaje huko?
Hahaa ulitaka itangazwe na TBC.
Mbaya zaidi walikamatwa na kuwekwa ndani walioenda kuripoti polisi juu ya kukamata watu na Kura feki [emoji23][emoji23][emoji23]
Bando litakushinda wwe unaeishi kwa kutegemea Wazungu!!bado kidg humu wengi hta bando litawashinda
Huna mamlaka ya kutoa ushauri wewe kibaraka...stupid guy...ushauri endelea kumpa Amsterdam...this country will remain the same...and more actions are coming against you...we will prosper without you...nyie endeleeni kulala na wazungu..hatutageuka nyuma...Punguza pressure bwasheee??? Mbona umepanic sana??? Na wewe ni mmoja wao nini??ππππ
Ushauri wangu kwenu ni huu. Jiandaeni tu , Safari hii wazungu hawawaachi lazima muite Maji mmaaaaa
Kuanza kwa mchakato wa Tume hurru ya uchaguzi - na marekebisho ya Katiba - inaweza kusaidia wadau hawa wa maendeleo wakarudisha imani yao kwetu.βWe have had a very difficult relationship with the government of Tanzania. We will reconsider Budget support unless we see a clear direction in the political environment β - @HStausboll.
Kenya haina makao ya benk ya DuniaUsisahau Watanzania siku hizi atubabaishwi na Nchi yoyote,ile Ukifunga na sisi tunafunga! Muulizeni Kenya Kabeberu kadogo tulivyomfanya mpaka nae aka surrender tena kwa kutubembeleza tumfungulie!!
Nimetuma ujumbe wako wa vitisho kuongeza ushahidi kwa wahusika.Huna mamlaka ya kutoa ushauri wewe kibaraka...stupid guy...ushauri endelea kumpa Amsterdam...this country will remain the same...and more actions are coming against you...we will prosper without you...nyie endeleeni kulala na wazungu..hatutageuka nyuma...
Kamanda uchwara acha kupiga mayowe.Mie hofu yangu hali ya chamwino tu, baada ya huu mjadala hali ya mzee ikoje huko?π
Nipe habari za chamwino bwasheeKamanda uchwara acha kupiga mayowe.