Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Amani iwe nanyi tena wadau!!

Nimetoka kutazama mjadala mzito unaoihusu Tanzania katika Kamati ya Mambo ya Nje Bunge la EU.

Napenda tu kusema yafuatayo

1. Tanzania tuna hali mbaya sana. Wajumbe wa kamati hii wameijadili vibaya sana Tanzania na wengine kupendekeza hatua kali zaidi zichukuliwe juu ya Tanzania ikiwemo kuondoa kabisa misaada yote ya kifedha kwa Tanzania

2. Mwenyekiti wa Kamati ametoa maelekezo umoja wa Ulaya sasa iuangalie Tanzania kwa jicho makini zaidi na kufuatilia kwa makini zaidi juu ya Tanzania na hali ya kutisha ya Haki kukandamizwa kwa Haki za binadamu na utawala Bora kunakoendelea Tanzania

3. Wamehoji hadi Kwa nini walitoa hela za ku support harakati za covid na wamembana afisa wao kuwa walitumia vigezo gani kutoa hela hizo wakati TanZania haifuati maelekezo ya WHO na wametangaza kuwa wako covid free

4. Wamemuamuru afisa wao anayejishughulisha na Tanzania kutoa maelezo ya uhakika juu na kwa nini walitoa hela kwa Tanzania na kwa nini hawajafuatilia hizo hela zimetumika kwenye nini?????

5. Wamesema sasa waangalie kwa namna gani watatoa msaada wao na hela zao kwa vyama vya siasa vinavyotetea demokrasia na watetezi wa Haki za binadamu waliopo Tanzania na sio kutoa tena hela kwa serikali.


Sasa kama EU wametoa maelekezo haya sijui ICC watasemaje 😂😂😂😂

Naomba waliopo kwenye list ya ICC wajiandae tu
Tunaimani na Kabudi
 
Wale ambao.hawajapatiwa nguzo la LEA wachangamke kabla hazijaisha maana wenye pesa zao wamepiga pini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha wanafikiri hili litawatoa kimasomaso,

Hili gari limeshaondoka hadi 2025.
 
Mkiwa mnakula mumevimbiwa mnasahau utu mnageuka kuwa mahayawani. Haiwezekani kabsa eti mtu umesoma halafu unashabikia u dhalimu haiwezekani!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Inaonekana hujui maana ya udhalimu wewe...na ni wazi hujasoma kwani Kama ungesoma ungeweza kutambua udhalimu wa wazungu...na Kama umesoma umekaririshwa tu ...stupid...
Mkiwa mnakula mumevimbiwa mnasahau utu mnageuka kuwa mahayawani. Haiwezekani kabsa eti mtu umesoma halafu unashabikia u dhalimu haiwezekani!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Wazungu wanapaswa kuelewa kuwa Tanzania tulipambana na Corona na tukaishinda hivyo msaada tuliopewa na EU ulikuwa ni halali yetu.

Nani asiyejua hatua mbalimbali zilizochukuliwa na serikali kupambana na Corona ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa, kuweka sehemu za jamii kunawa mikono, kufanyia kazi nyumbani, shule na vyuo kufungwa nk nk.

Wazungu watafute sababu nyingine za kutubania misaada lakini hili la Covid 19 wanatuonea bure.

Maendeleo hayana vyama!

Dona kantri anastahili vipi misaada?
 
Swali gani sasa hili mkuu, si kila uchaguzi wanashinda
Kama kweli ccm inashinda kila uchaguzi, Ile kauli ya magu juzi kwa akina lukuvi ililenga Nini na ilikuwa na tafsiri gani kwa chaguzi zote?
 
Bunge la Ulaya hivi punde limejadili hali ya kisiasa nchini Tanzania kabla na baada ya uchaguzi, na kuzishauri nchi washirika kupunguza zaidi misaada inayotolewa kwa Tanzania.

Wachangiaji wengi wamependekeza kusitishwa au kupunguzwa kwa misaada inayotolewa na nchi washirika wa EU. Wanahoji nini maana ya misaada yao kama lengo lao la utawala bora halitekelezwi na watawala.

Msaada wa kibajeti uliokuwa unatolewa na EU umesitishwa hadi mwafaka wa kisiasa ufikiwe.

“No budget support until EU Commission sees a fundamental improvement in the political dialogue!” - H. Stausboll.

“We must consider ECONOMIC SANCTIONS TO TANZANIA because of the elections and the TERRORIST ATTACKS in the South of Tanzania and North of Mozambique” -PauloRangel_pt EPP.

“We have had a very difficult relationship with the government of Tanzania. We will reconsider Budget support unless we see a clear direction in the political environment “ - @HStausboll.

“The elections in Tanzania was a travesty of Justice. It was Lukashenko style type of an election. Can we still trust The Tanzania govt with aid?” - Gahler Michael, @Europarl_EN.

Wameshauri kuliko kuipatia serikali ambayo inaweza kuitumia vibaya kufifisha haki za binadamu ni bora kuvipatia moja kwa moja vikundi vinavyojihusisha na kutetea haki za binadamu.

Wamehoji EU kuipatia serikali ya Tanzania Euro 27m kwa ajili ya Korona ambayo serikali inasema Tanzania haina Korona.

Mkataba wetu na EU.

View attachment 1629980
Haya mapimbi wa Lumumba ,waimba mapambio mvua ya rasharasha imeanza , mvua za masika zinakuja kutoka ICC soon , endeleeni kumuimbia mapambio Jiwe , badala ya kumuimbia aanze mazoezi ya Kiingereza na kupanda ndege masafa marefu .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wajinga nyie,

Mlifikiri unagombaniwa umonitor wa darasa la nne mpaka mnamleta yule mbelgiji?

Umeona wenzenu wa uganda? Wako serious wao hawajibebishi kwa akina Amsterdam kama mnavyofanya nyie humu, wameenda road.

Mpaka 2025 akili zitakuwa zimewakaa sawa wajinga nyie.
Mtanyooka tu tulieni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wajinga nyie,

Mlifikiri unagombaniwa umonitor wa darasa la nne mpaka mnamleta yule mbelgiji?

Umeona wenzenu wa uganda? Wako serious wao hawajibebishi kwa akina Amsterdam kama mnavyofanya nyie humu, wameenda road.

Mpaka 2025 akili zitakuwa zimewakaa sawa wajinga nyie.

Mjinga ni KAYAFA
 
Trillion 1.6 ambayo imekuwa ikitolewa tangu 2014 kuimarisha demokrasia , utawala bora na kujenga miundo mbinu imezuiliwa. Hii ni kwasababu ya ubinafsi wa viongozi wetu ambao wanataka kusifiwa kwa kushinda kwa kishindo ! wakati kura zikiibiwa waziwazi ili tu wajione wafalme. Anayeumia ni walewale washabiki ambao wanaaminishwa eti pesa za bareberu kama vile barabara ni za mabeberu!. Sasa mtu mmoja tu ana tu cost 1.6 Trillion na wajinga wanashangilia tu.
 
Mtu anakosa hela mfukoni anajikita kushabikia wazungu watunyanyase ,kumbe history ni somo zuri Sana japo skuzama ndani Sana kulichimba,ila nakumbuka incidence moja hivi yakwamba wakati mababu zetu wanaresist kutawaliwa na wazungu kuna mababu utopolo waliungana na mabeberu kututesa.
Sasa as a scientist,ile blood linage imeanza kutake place tena in neo-colonialism erra.
ni kheri mara 1000 kutawaliwa kimabavu na mzungu tujue moja kuliko tena kutawaliwa kimabavu na mwafrika mtanzania mwenzetu. dah! aisee!
karne ya 21 mwafrika bado anawaza kutawala watu kimabavu!!!!!! laanahtuuullah afrika.
 
Nilijua Jf kuna watu wazuri wastaarabu na wasomi kumbe mawzazo yangu yalikuwa sio kama ninavyofikilia
Mkiendekeza kupandikiza chuki zenu za kisiasa mtatupeleka pabaya mebeberu hawapendi kuona nchi za afrika zikiendelea na kujitegemea wenyewe
Wanataka siku zote tuwe chini na watutawale wanavyotaka wao kwa maslahi yao wanayoyajua wao
Mifano ipo mingi na ya wazi tu kwa baadhi ya nchi za afrika zilizo taka au tayari zilishajikomboa kwa uchumi na kujitegemea walipandikiza chuki za kisiasa na ugomvi wa wenyewe kwa wenyewe mpaka wakelekea wanapotaka machafuko vita za kisiasa
Mm sina upande wowote ule wa kisiasa pia sio mfatiliaji wa mambo ya siasa nimeongea na kutoa maoni yangu kama mwana Jf na mtanzania mzalendo
MTU MWENYE AKILI TIMAMU HUWEZI SHADADIA UJINGA NA UPUMBAVU
Tutatereka na kutikisika kwa kukosa misiada yao lkn tutawategemea mpka ln hii miradi mikubwa tunayofanya wenyewe ndio inawachanganya wanataka kutuvuruga tuna bahati hatuna au hatujagundua mafuta wengisha tumaliza mpka sasa
Mabeberu ni watu wa wabaya sana sana ndio maaana sasa mambo mengi tunafanya wenyewe inawauma inawachoma kuona tunaanza jitegemea bila pesa zao masharti yao na mikataba yao ya kipumbavu
Wewe ni mtanzania jivunie chakwako hata kama kibaya itawezekana tunamapungufu mengi sana kwenye kila idara sekta lkn tusijione kama wao tusijifananishe nao
SISI NI WA AFRIKA WAO NI WAZUNGU WAPI NA WAPI
Miundombinu afya ajira uwezo wa kila kitu elimu technology democracy hatuwafikii hata nusu
Lkn tusichukue mifano kwao tulete kwetu wenzetu walistarabika toka zamani
Kujitengenezea maadui wa ndani ni kubaya kuliko hao unaowaita mabeberu
 
Back
Top Bottom