Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Bwashee mtatapika vya mabeberu safari hii.

Mnapeleka sound zenu za Manzese kwa beberu mtakoma.
 
Corona ilikuwepo na kulikua nawagonjwa na kuna hospital zilitengwa kuwahudumia.
Vipimo vya corona vilinunuliwa na maabara ilitengenezwa.
Kuna waliokufa kwa corona pia na kuzikwa na serikali.
Kuna waliwekwa karantina wakiwemo WCB n.k
Baadae corona ilidhibitiwa na kupungua kisha kuisha, haikuendelea tena mpaka leo tunaendelea na maisha.
Sasa kwamba toka mgonjwa wakwanza wacorona anatangazwa hapa Tanzania mpaka inaisha hakuna fedha ilikua inatumika?

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Mku wao tunawashukuru pesa yao iliongeza udhibiti wa Corona Tz. Kwani kama moto unaunguza nyumba unauacha umalize kuunguza nyumba bila kujitahidi kuuzima ili uje upate ushahidi kamili? Utajitahidi sana moto usiunguze nyumba yote maana sio furaha yako nyumba iungue labda kama umekula njama iungue alafu uje ulipwe na Bima.
 
Wamezuia 1.6T pekee. I believe Serikali ‘tajiri’ ya Magufuli can cope without hiyo amount.

Hiyo amount si hata Bilionea Laiser anaweza kumpa Magufuli?😊
 
Sasa kumbe misaada, hawatubabaishi hao
Ukiwa hujui mambo utaropoka hv,lakin kwa jinsi ilivyo baadhi ya sekta Kuna hauweni kutokana na hawa watu weupe kujtoa kwetu,mfano hii nchi haina uwezo wa kununua ARV,neti Kuna watu wanasaidia,hata kwenye elimu Leo watoto wetu viziwi,vipofu,tahira,bubu wanasoma kwa upendo wa wazungu,yaan hz nchi zetu znategemea mengi sana,ila ukiwa Mtoto huwez jua
 
Wazungu wanapaswa kuelewa kuwa Tanzania tulipambana na Corona na tukaishinda hivyo msaada tuliopewa na EU ulikuwa ni halali yetu.

Nani asiyejua hatua mbalimbali zilizochukuliwa na serikali kupambana na Corona ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa, kuweka sehemu za jamii kunawa mikono, kufanyia kazi nyumbani, shule na vyuo kufungwa nk nk.

Wazungu watafute sababu nyingine za kutubania misaada lakini hili la Covid 19 wanatuonea bure.

Maendeleo hayana vyama!
Matapeli rudisheni hela za wanaume haraka sana. Mmeiba uchaguzi na bado mnaleta shobo kwenye hela za wanaume?
 
Wazungu wanapaswa kuelewa kuwa Tanzania tulipambana na Corona na tukaishinda hivyo msaada tuliopewa na EU ulikuwa ni halali yetu.

Nani asiyejua hatua mbalimbali zilizochukuliwa na serikali kupambana na Corona ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa, kuweka sehemu za jamii kunawa mikono, kufanyia kazi nyumbani, shule na vyuo kufungwa nk nk.

Wazungu watafute sababu nyingine za kutubania misaada lakini hili la Covid 19 wanatuonea bure.

Maendeleo hayana vyama!
Unadhani ndugu zetu Wazungu wana akili maandazi kama sisi?

Wanajua tumewapoteza:
  • former prezo
  • minister
  • members of parliament
  • prominent religious leaders
  • prominent business persons
  • just to mention a few.

Korona haina Tanzania!
 
Bunge la Ulaya hivi punde limejadili hali ya kisiasa nchini Tanzania kabla na baada ya uchaguzi, na kuzishauri nchi washirika kupunguza zaidi misaada inayotolewa kwa Tanzania.

Wachangiaji wengi wamependekeza kusitishwa au kupunguzwa kwa misaada inayotolewa na nchi washirika wa EU. Wanahoji nini maana ya misaada yao kama lengo lao la utawala bora halitekelezwi na watawala.

Msaada wa kibajeti uliokuwa unatolewa na EU umesitishwa hadi mwafaka wa kisiasa ufikiwe.

“No budget support until EU Commission sees a fundamental improvement in the political dialogue!” - H. Stausboll.

“We must consider ECONOMIC SANCTIONS TO TANZANIA because of the elections and the TERRORIST ATTACKS in the South of Tanzania and North of Mozambique” -PauloRangel_pt EPP.

“We have had a very difficult relationship with the government of Tanzania. We will reconsider Budget support unless we see a clear direction in the political environment “ - @HStausboll.

“The elections in Tanzania was a travesty of Justice. It was Lukashenko style type of an election. Can we still trust The Tanzania govt with aid?” - Gahler Michael, @Europarl_EN.

Wameshauri kuliko kuipatia serikali ambayo inaweza kuitumia vibaya kufifisha haki za binadamu ni bora kuvipatia moja kwa moja vikundi vinavyojihusisha na kutetea haki za binadamu.

Wamehoji EU kuipatia serikali ya Tanzania Euro 27m kwa ajili ya Korona ambayo serikali inasema Tanzania haina Korona.


Mkataba wetu na EU.

View attachment 1629980
Kikao chetu cha kwanza cha bunge, wajadili kuikataa misaada kutoka EU, kama ikija na mashariti. Sisi tunataka kujitegemea hivyo watuletee vikwazo vyao na kutunyima misaada, ndipo akilk atachangamka mpaka kuweza kujitegemea. Lakini tukitarajia misaada tu hatuwezi kujiendesha kamwe.
Najua tutapata shida mwanzoni, lakini tutaweza kuibuka washindi. Kuna vitu vingi tumedhubutu na kufanikiwa na hapa tutaweza. Matatizo ni vibaraka wa humu ndani ndo watatusumbua na maneno tu, lakini mwisho nao watanyooka.
 
Wazungu wanapaswa kuelewa kuwa Tanzania tulipambana na Corona na tukaishinda hivyo msaada tuliopewa na EU ulikuwa ni halali yetu.

Nani asiyejua hatua mbalimbali zilizochukuliwa na serikali kupambana na Corona ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa, kuweka sehemu za jamii kunawa mikono, kufanyia kazi nyumbani, shule na vyuo kufungwa nk nk.

Wazungu watafute sababu nyingine za kutubania misaada lakini hili la Covid 19 wanatuonea bure.

Maendeleo hayana vyama!
...Mkuu, nikukumbushe tuu. Katika mambo ambayo tulitakiwa kufanya katika kupambana na Covid-19 mojawapo ilikuwa kufanya upimaji wa halaiki na kutoa report kila siku kwa mamlaka husika. Sasa sie kama nchi (serikali unayoishabikia) iliamua ghafla kuacha kabisa upimaji (ambao haukuwa wa halaiki anyway). Kwa style hiyo tulitensa kinyume na matakwa ya WHO. Pia pesa iliyotolewa kama msaada wa kupambana na Covid-19 mojawapo ya kazi zake ilikuwa kulipa risky/hardship allowance kwa wahudumu wa afya kwenye vituo vya kutolea huduma nchini. Mpaka kesho watoa huduma zile posho wanaziskia tuu
 
Magufuli alitangazia dunia mwezi Juni kuwa Corona imeshindwa Tz kwa nguvu za mungu!

Sasa misaada ya mabeberu ya kupambana na Corona ya nini tena? tena misaada unapokea mwezi September!

Mzee Meko ni mwizi na mpigaji.
Atazitapika tu pesa za mabeberu.
Huo msaada tumeubadilisha kuwa zawadi kutoka kwa Mabeberu kutokana na kushinda Vita ya Covid!😂😂😂😂
 
Bunge la Ulaya hivi punde limejadili hali ya kisiasa nchini Tanzania kabla na baada ya uchaguzi, na kuzishauri nchi washirika kupunguza zaidi misaada inayotolewa kwa Tanzania.

Wachangiaji wengi wamependekeza kusitishwa au kupunguzwa kwa misaada inayotolewa na nchi washirika wa EU. Wanahoji nini maana ya misaada yao kama lengo lao la utawala bora halitekelezwi na watawala.

Msaada wa kibajeti uliokuwa unatolewa na EU umesitishwa hadi mwafaka wa kisiasa ufikiwe.

“No budget support until EU Commission sees a fundamental improvement in the political dialogue!” - H. Stausboll.

“We must consider ECONOMIC SANCTIONS TO TANZANIA because of the elections and the TERRORIST ATTACKS in the South of Tanzania and North of Mozambique” -PauloRangel_pt EPP.

“We have had a very difficult relationship with the government of Tanzania. We will reconsider Budget support unless we see a clear direction in the political environment “ - @HStausboll.

“The elections in Tanzania was a travesty of Justice. It was Lukashenko style type of an election. Can we still trust The Tanzania govt with aid?” - Gahler Michael, @Europarl_EN.

Wameshauri kuliko kuipatia serikali ambayo inaweza kuitumia vibaya kufifisha haki za binadamu ni bora kuvipatia moja kwa moja vikundi vinavyojihusisha na kutetea haki za binadamu.

Wamehoji EU kuipatia serikali ya Tanzania Euro 27m kwa ajili ya Korona ambayo serikali inasema Tanzania haina Korona.


Mkataba wetu na EU.

View attachment 1629980
Mungu wabariki Wazungu
 
Unadhani ndugu zetu Wazungu wana akili maandazi kama sisi?

Wanajua tumewapoteza:
  • former prezo
  • minister
  • members of parliament
  • prominent religious leaders
  • prominent business persons
  • just to mention a few.

Korona haina Tanzania!
Sasa wanahoji nini?!
 
Ukiwa hujui mambo utaropoka hv,lakin kwa jinsi ilivyo baadhi ya sekta Kuna hauweni kutokana na hawa watu weupe kujtoa kwetu,mfano hii nchi haina uwezo wa kununua ARV,neti Kuna watu wanasaidia,hata kwenye elimu Leo watoto wetu viziwi,vipofu,tahira,bubu wanasoma kwa upendo wa wazungu,yaan hz nchi zetu znategemea mengi sana,ila ukiwa Mtoto huwez jua
Kuna watu inabidi uwashangae tu,...

Dunia ni mshikamano hata Hizo nchi tajiri bila ushirikiano na nchi maskini basi zitakuwa si chochote

Anaeasema kuwa Tanzania itajimudu, otaendelea bila ushirikiano na Mataifa mwengine basi huyo ana akili za mchwa
 
Back
Top Bottom