Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Nani aliilazimisha tz iwe na vyama vingi??
Wazungu, lakini wanayo agenda chafu kwa afrika siku zote.

Wao ni binadamu wa kwanza kwa mujibu wa akili zao na sisi tunavyopambana rasilimali ziwe na faida kwetu ndivyo tunavyochokoza kile kiburi chao cha bandia.
 
Sisi waafrica ni wapumbavu na tunastahili wanayotufanyia. Je huwezi kupambania rasilimali zako bila kuiba kura?

Huwezi kupambania rasilimali zako bila kuua watu, kuteka watu na kuwabambikiizia kesi lukuki??

Je wazungu wanatusingizia???
Wazungu, lakini wanayo agenda chafu kwa afrika siku zote.

Wao ni binadamu wa kwanza kwa mujibu wa akili zao na sisi tunavyopambana rasilimali ziwe na faida kwetu ndivyo tunavyochokoza kile kiburi chao cha bandia.
 
Viongozi wamekosa hekima tamaa ya madaraka na kumwaga damu za watu ndiyo kipaumbele chao.
 
Biden kama nani?

Trump anamkimbiza huko!
Haha duuh unajidanganya bado, we e
Hovyo! Kabisa. Mazuzu wanaojitekenya na kujichekesha wenyewe wanatia kichefuchefu!
Wanashindwaje kujua km hatua zozote za kuihujumu Tanzania na raia wake, zitamuathiri hata yeye na jamaa zake, kwa namna moja ama nyengine!

Wakati huu ambapo tunajitambua kuwa maendeleo yetu lazima yaletwe na jitihada za sisi wenyewe, badala ya kutegemea bakuli la wafadhili ni muhimu kila raia kuunga mkono jitihada hizo, na kuwa mstari wa mbele kutetea uhuru wetu kama taifa na utashi wetu kama binaadamu. Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako!
Mliomba hela za covid19 za nini kama mnataka kujitegemea
 
Mnashangilia msichokijua. Kwa hiyo kwa CHADEMA hii nani angewachagua kuingia Ikulu ? Hayo yatapita na Tanzania ni nchi huru kabisa. Mabeberu hawana rafiki wa kudumu.
Safari hii ni lazima mabeberu wawapapase tu,hakuna namna nyingine
 
Munaosherekea issue hii hamna akili ama kama munazo basi mtakua mnatumika na Mabeberu.
Nchi yetu tunalazimisha kuitia kiberiti.
IMG_20201109_112615.jpg

Tulipowafanya wapizani wa kisiasa kuwa maadui ndipo tulipokosea sasa tumewapa fursa maadui halisi kutuburuga na TUTAVURUNGWA KWELI Maana hatuna marifaa wa upendo baina yetu ni uchu wa madaraka tu
 
More info :
19 November 2020

Council approves conclusions on the EU Action Plan on Human Rights and Democracy 2020-2024​

The Council has approved conclusions on the EU Action Plan on Human Rights and Democracy 2020-2024. The Action Plan sets out the EU's level of ambition and priorities in this field in its relations with all third countries.

With this Action Plan, the Council reaffirms the EU's strong commitment to further advancing universal values for all.

The conclusions acknowledge that while there have been leaps forward, there has also been a pushback against the universality and indivisibility of human rights. The ongoing COVID-19 pandemic and its socio-economic consequences have had an increasingly negative impact on all human rights, democracy and rule of law, deepening pre-existing inequalities and increasing pressure on persons in vulnerable situations.

No one should be left behind, no human right ignored. To this end the EU and its member states will use the full range of their instruments, in all areas of external action, to focus on and further strengthen EU's global leadership in the field of human rights and democracy and in the implementation of the EU Action Plan.

Background​

In 2012, the EU adopted the Strategic Framework on Human Rights and Democracy which set out the principles, objectives and priorities designed to improve the effectiveness and consistency of EU policy in these areas. To implement the EU Strategic Framework of 2012, the EU has adopted two EU Action Plans (2012-2014 and 2015-2019).

The new Action Plan for 2020-2024 builds on the previous action plans and continues to focus on long-standing priorities such as supporting human rights defenders and the fight against the death penalty.

By identifying five overarching priorities: (1) protecting and empowering individuals; (2) building resilient, inclusive and democratic societies; (3) promoting a global system for human rights and democracy; (4) new technologies: harnessing opportunities and addressing challenges; and (5) delivering by working together, the Action Plan also reflects the changing context with attention to new technologies and to the link between global environmental challenges and human rights.
Source : https://www.consilium.europa.eu/en/...plan-on-human-rights-and-democracy-2020-2024/
19 November 2020

Tanzania yazidi kujadiliwa Bunge la Ulaya, wasema Uchaguzi haukuwa sawa, wataka misaada ikatwe​



 
Hovyo! Kabisa. Mazuzu wanaojitekenya na kujichekesha wenyewe wanatia kichefuchefu!
Wanashindwaje kujua km hatua zozote za kuihujumu Tanzania na raia wake, zitamuathiri hata yeye na jamaa zake, kwa namna moja ama nyengine!

Wakati huu ambapo tunajitambua kuwa maendeleo yetu lazima yaletwe na jitihada za sisi wenyewe, badala ya kutegemea bakuli la wafadhili ni muhimu kila raia kuunga mkono jitihada hizo, na kuwa mstari wa mbele kutetea uhuru wetu kama taifa na utashi wetu kama binaadamu. Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako!
Bora tuumie wote,sio kila siku wanaumia wafuasi wa upinzani kwa kutekwa,kupigwa,kubambikiziwa kesi,kupigwa risasi,kufungwa na hata kuuwawa!
Walau mbinyo ukiendelea kuwa mkali,wote tutapata maumivu!Na hiyo kwangu ni sawa mpaka pale uhuru na haki vitatamalaki kwa wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa!

Ni zaidi ya miezi minne sasa akina Nusrat Henje wako mahabusu kwa kuimba "mungu ibariki chadema......",wakati uvccm hakuna aliyeguswa japo na wao waliimba "Mungu mmbariki Magufuli. ....."

Bora tuumie wote,waongeze na vikwazo kabisa!
 
Amani iwe nanyi tena wadau!!

Nimetoka kutazama mjadala mzito unaoihusu Tanzania katika Kamati ya Mambo ya Nje Bunge la EU.


View attachment 1630138

Napenda tu kusema yafuatayo

1. Tanzania tuna hali mbaya sana. Wajumbe wa kamati hii wameijadili vibaya sana Tanzania na wengine kupendekeza hatua kali zaidi zichukuliwe juu ya Tanzania ikiwemo kuondoa kabisa misaada yote ya kifedha kwa Tanzania

2. Mwenyekiti wa Kamati ametoa maelekezo umoja wa Ulaya sasa iuangalie Tanzania kwa jicho makini zaidi na kufuatilia kwa makini zaidi juu ya Tanzania na hali ya kutisha ya Haki kukandamizwa kwa Haki za binadamu na utawala Bora kunakoendelea Tanzania

3. Wamehoji hadi kwanini walitoa hela za ku support harakati za Covid na wamembana afisa wao kuwa walitumia vigezo gani kutoa hela hizo wakati Tanzania haifuati maelekezo ya WHO na wametangaza kuwa wako covid free

4. Wamemuamuru afisa wao anayejishughulisha na Tanzania kutoa maelezo ya uhakika juu na kwa nini walitoa hela kwa Tanzania na kwanini hawajafuatilia hizo hela zimetumika kwenye nini?

5. Wamesema sasa waangalie kwa namna gani watatoa msaada wao na hela zao kwa vyama vya siasa vinavyotetea demokrasia na watetezi wa Haki za binadamu waliopo Tanzania na sio kutoa tena hela kwa Serikali.


Sasa kama EU wametoa maelekezo haya sijui ICC watasemaje 😂😂😂😂

Naomba waliopo kwenye list ya ICC wajiandae tu.

Soma pia > https://www.jamiiforums.com/threads...4-5-za-michango-ya-covid-19-zimeliwa.1786433/
NASIKITIKA KUONA WAAFRIKA TULIVYO NA AKILI NYEUSI, NASIKITIKA KUONA HUU MPANGO NI WASISI WENYEWE, KITU CHA AJABU TUNAHISI HAO WHITE WANATUPENDA SANA
 
Sisi waafrica ni wapumbavu na tunastahili wanayotufanyia. Je huwezi kupambania rasilimali zako bila kuiba kura?

Huwezi kupambania rasilimali zako bila kuua watu, kuteka watu na kuwabambikiizia kesi lukuki??

Je wazungu wanatusingizia???
Kumuibia kura Mbowe au Mdee? Hakuna kitu kama hicho.

Hayo ya kubambikia kesi na kuua mwalimu mkuu ni mzungu mwenyewe aliyemuua Lumumba miaka ya 1960 mwanzoni.

Mwalimu mkuu ni CIA anayewauwa marais wa dunia ya tatu kadri anavyojisikia.
 
Hayo yanayoitwa udikteta ni Gia tu ya kishenzi ya wazungu kutaka kuingilia siasa za ndani za mataifa mengine.

Demokrasia wanayoiongelea ndio hiyo ya kishetani yenye masharti ambayo ni kufuru kwa Mungu.
Hivi wakati wa Kikwete,ushoga ulikuwa ruksa?Mbona hatukuona haya?Acheni kutafuta kichaka cha kuficha madhambi yenu!Watendeeni haki raia wenu wote bila kujali itikadi za vyama vyao!Uobevu wanaopitia wapinzani ndio imetufikisha hapa!
 
Kumuibia kura Mbowe au Mdee? Hakuna kitu kama hicho.

Hayo ya kubambikia kesi na kuua mwalimu mkuu ni mzungu mwenyewe aliyemuua Lumumba miaka ya 1960 mwanzoni.

Mwalimu mkuu ni CIA anayewauwa marais wa dunia ya tatu kadri anavyojisikia.
Ndio maana na ninyi mmeamua kuua wapinzani?
 
Back
Top Bottom