gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Nikikukamata nikakupeleka polisi unaweza kututhibitishia mwamuzi alilipwa pesa? Ushahidi unao?Inasikitisha sana rushwa Kila kona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikukamata nikakupeleka polisi unaweza kututhibitishia mwamuzi alilipwa pesa? Ushahidi unao?Inasikitisha sana rushwa Kila kona
Yameishazidi. Ujinga ukifumbiwa macho unatabia ya kuongezeka kwa kasi sana.Ligi yetu ina ujinga ujinga mwingi sana,afu msimu huu maujinga yanataka kuzidi
Nisingekuwa na kibanda umiza nisingekuwa naangalia huu ujinga
Ni jambo la kushukuru kuona haki imetendeka.Ligi inazidi kunoga, Kila mtu ashinde anavojua...
Kamati ya Masaa 72 imefuta kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa Namungo, Derick Mukombozi, katika mchezo dhidi ya Simba SC. Uamuzi huu umefikiwa baada ya kamati kupitia kwa kina ripoti ya mwamuzi na kulinganisha na picha za video za tukio husika.
Baada ya uchunguzi, kamati imebaini kuwa maelezo ya mwamuzi hayalingani na kile kilichoonekana kwenye video, hivyo kadi hiyo imeonekana kuwa batili. Kutokana na uamuzi huu, Mukombozi hana hatia yoyote na atakuwa huru kuendelea kuitumikia Namungo kwenye michezo inayofuata.View attachment 3246118
Hii ni Bongo no one cares... Ataambiwa apunguze tu mengine n ujanja ujanja hao wa kumpa adhabu kwanza ndo walishangilia matokeoNi jbo la kushukuru kuona haki imetendeka.
Ila bado kwa upande wa yule mwamuzi! Natamani kuona anapewa adhabu kali, ikiwezekana afungiwe maisha kuchezesha mechi zote zinazotambuliwa na TFF, ili iwe fundisho kwa waamuzi wengine wenye tabia mbaya kama ya kwake.
Kwa wapenda michezo wote tulishuhudia ule uonevu waliofanyiwa Namungo na yule mwamuzi tangu mchezo unaanza kiasu cha kusababisha wachezaji wa Namungo kumlalamikia yule mwamuzi mara kwa mara.
Ok fine after 8 march tutajua who is who?Tunza na Mimi Nina risiti zako kibao tu
Na usije ukashangaa mechi zijazo akapangiwa tena kuchezesha mechi za simba na kuendelea kufanya maamuzi yake ya kipuuzi.Ni ajabu mwamuzi hajachukuliwa hatua yoyote kwenye hiyo taarifa.
Usije kukimbia jukwaa mkuu 😃😃Ok fine after 8 march tutajua who is who?
Acha kuongea mambo kwa hasira hivi kakosa kamoja ni kakumfungia mtu maisha kuchezesha mpira?Na usije ukashangaa mechi zijazo akapangiwa tena kuchezesha mechi za simba na kuendelea kufanya maamuzi yake ya kipuuzi.
Waamuzi wajinga kama hawa ni kuwaondoa kabisa kwenye orodha ya waamuzi wenye sifa ya kuchezesha mpira wa miguu chini ya TFF.
Msimu huu makolo wamedhamiria kwa nguvu zote waivuruge hii ligi,wamenunua hadi wachambuzi kuficha maovu yao huku washabiki wao wakihamasishana propaganda za mitandaoni huku wakiwa na backup ya kidau katibu wa tff,but awatoshinda huu ujinga waoSafi sana apewe adhabu yule refa ni mpuuzi sana
Wamekuwa compensated kwa kadi kufutwa hivyo wataweza kumtumia mchezaji wao muhimu Derick Mukombozi kwenye game zijazo za ligiRefa hajaadhibiwa? Au ni kamati nyingine?
Namungo wanakuwa compensated vipi kwa maonevu waliyopata?
Wachafuzi na wachambaji watuombe radhi raia ..
Sasa kama mnajua hawatoshinda mnahangaika nini na kulalamika mtandaoni kwa kitu unachojua hawatawezaMsimu huu makolo wamedhamiria kwa nguvu zote waivuruge hii ligi,wamenunua hadi wachambuzi kuficha maovu yao huku washabiki wao wakihamasishana propaganda za mitandaoni huku wakiwa na backup ya kidau katibu wa tff,but awatoshinda huu ujinga wao
Kilichobakia kwa sasa ni kuona tu mwamuzi anachukuliwa hatua kali, kwa kushindwa kwake kuchezesha mpira wa miguu kwa kufuata sheria 17! Ili iwe fundisho kwa waamuzi wengine wote wa aina yake.
Kwa kosa moja tu kama hilo labda afungiwe kukosa kuchezesha mechi 3 za ligi au akatwe tu posho ya mchezo husika ili aumie kwa kushindwa kuwa makiniKilichobakia kwa sasa ni kuona tu mwamuzi anachukuliwa hatua kali, kwa kushindwa kwake kuchezesha mpira wa miguu kwa kufuata sheria 17! Ili iwe fundisho kwa waamuzi wengine wote wa aina yake.
Hapo juu kuna wadau wametoa na ushahidi wa huyo mwamuzi kufanya maamuzi uenye utata kwenye mechi ya Coastal vs Simba iliyoisha kwa sare ya 2-2! Maana yake siyo mara ya kwanza kufanya maamuzi yenye utata.Kwa kosa moja tu kama hilo labda afungiwe kukosa kuchezesha mechi 3 za ligi au akatwe tu posho ya mchezo husika ili aumie kwa kushindwa kuwa makini
Naunga mkono hoja kakaMsimu huu makolo wamedhamiria kwa nguvu zote waivuruge hii ligi,wamenunua hadi wachambuzi kuficha maovu yao huku washabiki wao wakihamasishana propaganda za mitandaoni huku wakiwa na backup ya kidau katibu wa tff,but awatoshinda huu ujinga wao