Kamati ya Tuzo TFF imetumia vigezo gani kuchagua Beki Bora wa Ligi ya NBC?

Kamati ya Tuzo TFF imetumia vigezo gani kuchagua Beki Bora wa Ligi ya NBC?

Mkuu Scars sina takwimu sahihi za huyo dogo na Inonga.

Lakini Mabeki usiwapime kwa idadi ya magoli wala assits. Kazi ya msingi ya beki ni kulinda ngome. Ni askari wa mwisho kabla ya kufikiwa golikipa.

Hivyo, kwenye mjadala ainisha takwimu vitu vya msingi ambavyo mlinzi anapaswa kutimiza. Navyo ni blocks, interceptions na clearances.

Je, huyo Dogo ana ngapi na unadhani nani anayestahili? Leta takwimu zao wote wawili.
Hata nikitumia hoja yako bado inaonesha Dickson Job hakustahili tuzo hiyo.

Kwasababu ukiangalia utaona Simba ndio timu pekee iliyoruhusu mabao machache kuliko timu nyingine yeyote.

Hiyo inatosha kuonesha ubora mkubwa wa beki za Simba katika kulinda.

Lakini zimekuja na double profit yani licha ya role yao kuwa ni ulinzi bado wamekuja kuku offer extra thing kwenye eneo la mwisho.

Mabeki wana assist kushinda hata hao viungo wenu.

Mabeki wana magoli kushinda hata hao viungo wenu ambao role zao ni kushambulia.

So unapokuja kupuuza hizi stats na kumteua mtu mwingine ambaye hajafikia vigezo hivi unakuwa unamaana yako binafsi ya beki bora unayoijua wewe na dunia yako.
 
Hata nikitumia hoja yako bado inaonesha Dickson Job hakustahili tuzo hiyo.

Kwasababu ukiangalia utaona Simba ndio timu pekee iliyoruhusu mabao machache kuliko timu nyingine yeyote.

Hiyo inatosha kuonesha ubora mkubwa wa beki za Simba katika kulinda.

Lakini zimekuja na double profit yani richa ya role yao kuwa ni ulinzi bado wameku offer extra thing kwenye eneo la mwisho.

Mabeki wana assist kushinda hata hao viungo wenu.

Mabeki wana magoli kushinda hata hao viungo wenu ambao role zao ni kushambulia.

So unapokuja kupuuza hizi stats na kumteua mtu mwingine ambaye hajafikia vigezo hivi unakuwa unamaana yako binafsi ya beki bora unayoijua wewe na dunia yako.
Walivyo ruhusu mabao machache wakachukua kombe gani?
 
Acha unazi wewe, Job ni beki wa kati na hata ukiangalia msimu wote huu jamaa katumika Sana. Katumiwa kati, kushoto na kulia na kote kacheza vema.
Unajitambua vizuri lakini?

Hizi ni tuzo za beki wa kati au ni tuzo za beki bora kiujumla?

Enonga ni beki wa wawapi?

Unaweza fananisha ubora wake na huyo Dickson Job?
 
Kapombe ana assist 6 au 7?

Alaf primary task ya defenders ni kudefend, assist ni added advantage. Job amelifanya vyema kazi yake ya ulinzi, hadi kuifanya timu yake kufanikiwa kuchukua FA na ligi. Pia amekuwa uwanjani kwa mechi nyingi, hakuwa limited na majeruhi na hivyo kumfanya atumike ipasavyo
 
Kapombe ana assist 6 au 7?

Alaf primary task ya defenders ni kudefend, assist ni added advantage. Job amelifanya vyema kazi yake ya ulinzi, hadi kuifanya timu yake kufanikiwa kuchukua FA na ligi. Pia amekuwa uwanjani kwa mechi nyingi, hakuwa limited na majeruhi na hivyo kumfanya atumike ipasavyo
Assist 7

Hiyo 6 kabla ya ligi kumalizika

Manake defender anayekupa vitu viwili kwa mpigo ni more valuable kuliko huyo ambaye yupo fixed eneo moja.

Kuchukua ligi kunaweza kusababishwa na ubora wa washambuliaji ambao wanafanya kazi kubwa inayofanya huyo beki asiwe na kazi kubwa uwanjani.

Timu kuchukua ubingwa hakuna uhusiano wowote unaofanya beki yake iwe bora kuliko timu ambayo haijachukia ubingwa.

Kuwa uwanjani kwa mechi nyingi sio kigezo cha kukufanya uwe mchezaji bora wa eneo hilo.

Mimi hapa nilitegemea mnipe stats zinazoonesha dangerous attempts ambazo Dickson Job alizi block.

Halafu tumuangalie na Inonga tuone
 
Pamoja na Yanga kuruhusu mabao 18 lakini imeruhusu kwenye Mechi chache ukfananisha na Magoli 16 waliyoruhusu Simba.

Yanga wameruhusu magoli kwenye mechi 11 tu

Simba wamefungwa magoli 16 kwenye mechi 15
Kwani takwimu za tuzo katika kuangalia ubora wa mchezaji zinaanzia katikati ya mzunguko au michezo yote kiujumla?

NB: Hujanijibu UEFA ilianza mwaka gani (usiseme chama cha mpira)
 
Jamani ebu tufahamishane vizuri hapa wote tujue.

Dickson Job kapewa tuzo ya beki bora kwac Criteria gani?

Haya tuliyaona TMA na tuzo zao za CUBA, leo hii kwenye NBC mambo kama yanajirudia.
Imetumia kigezo cha makombe, haiwezekani tuzo apewe beki ambaye hana kombe hata lakunywea uji
 
No Akamiko.

Azam wametoa mchezaji gani?
 
Imetumia kigezo cha makombe, haiwezekani tuzo apewe beki ambaye hana kombe hata kunywea uji
Gongowazi kweli hamtumii ipasavyo akili zenu

Hivi kweli unaona akili yako ipo sahihi kusema kombe ndio kigezo cha kupima ubora wa mchezaji?

Yani akili hizi ndio zile tulizoziona kweye tuzo za TMA, wasanii walipewa tuzo ya mziki bora kwasababu tu nyimbo zao zili trend.
 
Hata nikitumia hoja yako bado inaonesha Dickson Job hakustahili tuzo hiyo.

Kwasababu ukiangalia utaona Simba ndio timu pekee iliyoruhusu mabao machache kuliko timu nyingine yeyote.

Hiyo inatosha kuonesha ubora mkubwa wa beki za Simba katika kulinda.

Lakini zimekuja na double profit yani richa ya role yao kuwa ni ulinzi bado wameku offer extra thing kwenye eneo la mwisho.

Mabeki wana assist kushinda hata hao viungo wenu.

Mabeki wana magoli kushinda hata hao viungo wenu ambao role zao ni kushambulia.

So unapokuja kupuuza hizi stats na kumteua mtu mwingine ambaye hajafikia vigezo hivi unakuwa unamaana yako binafsi ya beki bora unayoijua wewe na dunia yako.
Hao mabeki wenye assist zimewasaidiaje katika kupata makombe msimu huu?

Kwahyo mlitaka mpewe tuzo ya kutoruhusu magoli machache
 
Gongowazi kweli hamtumii ipasavyo akili zenu

Hivi kweli unaona akili yako ipo sahihi kusema kombe ndio kigezo cha kupima ubora wa mchezaji?

Yani akili hizi ndio zile tulizoziona kweye tuzo za TMA, wasanii walipewa tuzo ya mziki bora kwasababu tu nyimbo zao zili trend.
Akili yangu naitumia katika kusaka pesa tu, timu bora , wachezaji bora ndo wanaochukua makombe tu
 
Back
Top Bottom