ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Croatia walikua na medali [emoji23][emoji23]Another fool in town
2018 Luca Modric alichkua MVP, je Croatia walichukua kombe mwaka huo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Croatia walikua na medali [emoji23][emoji23]Another fool in town
2018 Luca Modric alichkua MVP, je Croatia walichukua kombe mwaka huo?
Nichangie hela mimi nipeleke malalamiko haya CASMaana yake Yanga imeruhusu magoli mengi kwenye mechi moja ilihali Simba machache kwenye mechi moja.
Kwa mantiki hiyo beki ya Yanga ilikuwa mbovu
Tumechukua kombe la FeisalWalivyo ruhusu mabao machache wakachukua kombe gani?
Acha roho mbaya mkuu mnyonge mnyongeni haki yake mpeni... Au unaona saidoo anastahili baada ya zile goli 5 za mchongoKama ambavyo Mayele kapewa MVP vigezo ni vipi?? To me Saidooo alistahili...
Kwa hiyo mechi moko, jibu ni NDIO.Maana yake Yanga imeruhusu magoli mengi kwenye mechi moja ilihali Simba machache kwenye mechi moja.
Kwa mantiki hiyo beki ya Yanga ilikuwa mbovu
kumbe kigezo chako ni assistNitafutieni Dickson Job hapaView attachment 2655537View attachment 2655538
Luka alishinda medal ya Fifa world cup, je hao wa kwako wameshinda nini?Another fool in town
2018 Luca Modric alichkua MVP, je Croatia walichukua kombe mwaka huo?
Wewe ulitaka apewe nani labda! Tuanzie hapo!Jamani ebu tufahamishane vizuri hapa wote tujue.
Dickson Job kapewa tuzo ya Beki Bora kwa Criteria gani?
Haya tuliyaona TMA na tuzo zao za CUBA, leo hii kwenye NBC mambo kama yanajirudia.
Simba ndio imefungwa magoli machache hiyo inaonyesha kuwa Simba ilikuwa na beki Bora sema hizi tuzo ni kubebana ni sawa na wakati ule walipompa Bocco badala ya Cham
Nenda TFF kabwabwaje huko, siyo hapa.Wewe uliyetaka apewe ana vigezo gani?.
Uko ulikotoka tunajua wenye akili ni wawilisimba ana magoli mengi pia kuliko yanga ko ana stahili kuchukua ubingwa wamewaonea T.F.F hawafai hahahahah
kama magoli machache mnataka mpewe beki bora basi mna magoli mengi pia tuwape ubingwa hamtakiUko ulikotoka tunajua wenye akili ni wawili
Nimeweka data zote hapo.Kazi ya beki sio kuassist waache kimbelembele