Kamati ya Uchaguzi ya TFF yapitisha Jina la Wallace Karia kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Urais

Kamati ya Uchaguzi ya TFF yapitisha Jina la Wallace Karia kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Urais

CCM wana demokrasia pana sana linapokuja swala la uchaguzi wa ngazi zote tofauti na Chadema ambao mgombea wa nafasi ya mwenyekiti ni " yule yule " miaka nenda rudi.

Chadema inafanana sana na TFF ambayo mgombea wake wa kudumu kwa nafasi ya Rais ni Wallace Karia.

Karia ni CCM lakini anaendesha TFF kichadema Chadema.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Jina la mwendazake lilikuja kupitia mfuko wa suruali ya Mzee wa msoga.
Hiyo ndio demokrasia?
 
Hivi hii TFF na wenyewe wana utaratibu wa kuwa na mihula au wako namna gani na kama hawana basi huyu Msomali hatatoka anavyoonekana, atakuwa kama Ndolanga.
Kuna mihula mitatu cosecutively kwa mujibu wa katiba ya tff.
 
CCM wana demokrasia pana sana linapokuja swala la uchaguzi wa ngazi zote tofauti na Chadema ambao mgombea wa nafasi ya mwenyekiti ni " yule yule " miaka nenda rudi.

Chadema inafanana sana na TFF ambayo mgombea wake wa kudumu kwa nafasi ya Rais ni Wallace Karia.

Karia ni CCM lakini anaendesha TFF kichadema Chadema.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Hahahahahaaaa!,mkuu hili jukwaa la michezo wanajipooza baada ya kuzinguana na mama
 
Kuna haja ya Chadema kupisha mawazo mapya maana haiwezekani mtu mmoja kuwa ndio Mwenyekiti wa kudumu huku ukihimiza demokrasia na kudai katiba mpya, kwanza tuanze na katiba za vyama kufanya nafasi ya uwenyekiti kuwa na vipindi maalum.

Hii sio kwa Chadema tuu mpaka CUF,TLP,UDP na wengineo muache kuhodhi madaraka.
Mi nataka kujua wenyeviti wa ccm huwa wanashindana nani hadi wanakuwa mwenyekiti taifa?
 
Hizo kanuni zilikuwepo au ni mpya?
Hao walioondolewa walikuwa na hivyo vigezo au hawana?
Tukishajua hayo ndio tumhukumu bwana Karia.
 
Ni Vigezo Gani Wamekosa? Wakati Awali walipitishwa na Hyo Kamati Wakiwa wamekidhi Vigezo? Au Hatua Kama Hii Pia Kunakuwa na Vigezo Vingine Vipya Tofauti na Vya Awali?
Walikidhi vigezo vya kuitwa kwenye interview (usaili) baada ya usaili wameonekana hawana vigezo
 
Hizo kanuni zilikuwepo au ni mpya?
Hao walioondolewa walikuwa na hivyo vigezo au hawana?
Tukishajua hayo ndio tumhukumu bwana Karia.
Ni upuuzi tu wenye uzoefu wakakosa endorsement harafu wasio na uzoefu wakapata endorsement, Karia kacheza kama Pele hapo
 
hii ndio TANZANIA....nchi yangu na....NAIPENDA SANA...
 
Jamaa ni dhaifu sana, halafu ni muoga wa challange. Mpuuzi sana kumbe yule dada alikuwa ni kama ni chambo tu, halafu yule dada alikuwa ni mjumbe wa kamati za tff ambazo aliteuliwa na huyo msomali.
Huyu hawezi Tena kuwa Rais wa TFF
 
Back
Top Bottom