Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Nakumbuka early 2003/4 kati ya hiyo miaka miwili mjomba'angu (sasa marehemu) baada ya ukwasi kuwa mwingi aliona ajiongezee ulinzi aka-apply naye amiliki silaha njia zote alifanikiwa ila police post ya pale mtaani (Mabibo kipindi hiko) alikuwa na kesi ya kumpiga mkewe na stuli habari yake ikaishia hapo.
Mpaka anafariki hakuwahi kupewa kibali, ni kusema baadhi ya watu kwenye system kukosa maadili ndo kunachangia. Kuna siku tena pale Kariakoo jamaa na ki-IST chake kaguswa kidogo kwenye bumper la nyuma na bus Eicher kashuka na chuma hata dereva wa daladala yenyewe hajasema neno yeye ana mkwaju mkononi kilichosaidia kulikuwa na police karibu wakaja wakaondoka naye.
Mpaka anafariki hakuwahi kupewa kibali, ni kusema baadhi ya watu kwenye system kukosa maadili ndo kunachangia. Kuna siku tena pale Kariakoo jamaa na ki-IST chake kaguswa kidogo kwenye bumper la nyuma na bus Eicher kashuka na chuma hata dereva wa daladala yenyewe hajasema neno yeye ana mkwaju mkononi kilichosaidia kulikuwa na police karibu wakaja wakaondoka naye.