Kamati yaundwa kufuatilia Mwili na mazishi ya Mangwair

Swat

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
4,200
Reaction score
1,990
Kamati hiyo imeundwa na inajumuisha Prof.J,TID,Lady Jaydee,P Funk,Inspector Haroun,Adam Juma,Mwana FA,J moo na wengineo. Ila sijawasikia wale wa kule upande wa pili wakitajwa kwenye kamati hiyo wakati misiba kadhaa huwa wanashiriki kikamilifu! My take😀o you think what am thinking!?.Source: Taarifa ya habari ya saa moja.Chanel Ten.
 
Clouds ni opportunists...wapigaji tu hawana lolote
 
Hii ndio kamati ya kushughulikia mazishi ya msanii Mangwair pindi mwili utakapo wasili:-
P Funk
Lady Jaydee
Prof. Jay
Maze B
Mchizi Mix
Jay Moe
TID
Adam Juma
FA
Haroun Kaena

Source: Times FM
 
Hii ndio kamati ya kushughulikia mazishi ya msanii Mangwair pindi mwili utakapo wasili:-
P Funk
Lady Jaydee
Prof. Jay
Maze B
Mchizi Mix
Jay Moe

Source: Times FM

Radio ya wafu umeisahau naona tangu asubuhi wanagonga ngoma zake kwa wingi.
 
Safi sana. Hii kamati kabla ya 2015 watavaa gwanda. Moyoni mwao najua ni Viva Chadema.
 
Akina Mawingu mkuu. Si misiba mingi huwa wanaiendea na ndizi na pilipili mkuu!

Haa! Safari hii wamesahaulika? Kama yumo pfunk ruge hatii maguu labda alazimishe.
 
ila mbona Millard ayo yuko sauth na anaupdate mainfor jaman...ni mtizamo tu lkn.
 
Millard Ayo anarusha kipindi cha amplifaya kutoka Afrika kusini kaenda leo asubuhi
 
ila mbona Millard ayo yuko sauth na anaupdate mainfor jaman...ni mtizamo tu lkn.

Amepelekwa na kampuni yake ili nao waonekane kidogo wameshiriki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…