Tetesi: Kambi ya Lissu ikiongozwa na Lema na genge lake yajipanga kuvuruga uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa baada ya kugundua kushindwa vibaya

Tetesi: Kambi ya Lissu ikiongozwa na Lema na genge lake yajipanga kuvuruga uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa baada ya kugundua kushindwa vibaya

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Baada ya mahesabu ya mgombea uenyekiti wao kugoma kabisa, na kwamba kura za wajumbe wa mkutano mkuu haziko upande wao licha ya kufanya press conferences wiki nzima kwa kutambulisha wajumbe, wenyeviti na makatibu wa chadema feki,

Hivi sasa wanajipanga kuingia ukumbini kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi huo haufanyiki kabisa kwa kisingizio cha maandalizi ya udanyanyifu, rushwa kutoka kambi ya mbowe na baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa upande wao kuzuiwa kuingia ukumbini baada ya kutokidhi vigezo vya uthibitisho wa ujumbe wao.

Infact,
Lema na baadhi ya wafuasi wa Lisu mathalani pumbalu, mwaipaya na heche wanaandaa wajumbe feki kutoka maeneo mbalimbali nchini na kujaribu kuwapa uhalali kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, ili hatimae wakifika ukumbini wazuiwe kuingia ili iwe kisingizio cha wao kushindwa na kuvuruga uchaguzi huo.

Mbaya zaidi,
inadaiwa wanajiandaa kuingia ukumbini na silaha mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyembe ili kulazimisha mgombea wao ashinde uchaguzi licha ya kutokuungwa mkono na wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa.

Mpaka sasa,
kuna dalili na ishara zote za vurugu na uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi wa chadema Taifa wa Jan 21.2025.

Natoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuchukua tahadhari zote na kuchukua hatua muhimu stahiki za kudhibiti hali hiyo kabla ya uharbifu na hali hiyo ya uvunjifu wa amani inayopangwa haijawa mbaya zaidi

Ndugu mdau,
Una maoni gani kwenye hili?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Lisu kashinda mlitaka mfanye wizi tumewasanukuia lazima pachimbike wape huo ujumbe walokutuma
Lema hana uhalali wa kuingia kwenye mkutano mkuu lakini amepanga kuingia kinguvu ili aanzishe vurugu mapema 🐒
 
Lema hana uhalali wa kuingia kwenye mkutano mkuu lakini amepanga kuingia kinguvu ili aanzishe vurugu mapema 🐒
20250118_112847.jpg
 
Tatizo langu na wewe ni Kwamba wewe umri a unachoamini kwa vipande vya pesa
no,
sipendelei Kibaraka wa mabwenyenye ya Magharibi kujipenyeza chadema maana baada ya mwaka moja bavicha wote wa kiume wanaweza kua wameolewa ubeligiji kwasabb ndiyo kipaumbele cha kwanzwa cha hyuo kuwadi wa wakolni, eti ndio njia ya kuwatafutia vijana ajira za nje ya nchi 🐒
 
Fujo zitoke wapi wakati timu lissu mpaka sasa inaongoza? Labda timu mbowe ndio wataleta fujo maana tayari mwamba wao amekataliwa
 
no,
sipendelei Kibaraka wa mabwenyenye ya Magharibi kujipenyeza chadema maana baada ya mwaka moja bavicha wote wa kiume wanaweza kua wameolewa ubeligiji kwasabb ndiyo kipaumbele cha kwanzwa cha hyuo kuwadi wa wakolni, eti ndio njia ya kuwatafutia vijana ajira za nje ya nchi 🐒
Hata mbowe anafadhiriwa na hao mabwanyenye na nyie machawa unafikiri ashawatafuna kabla ya kwenda mbinguni huko ulaya
 
Fujo zitoke wapi wakati timu lissu mpaka sasa inaongoza? Labda timu mbowe ndio wataleta fujo maana tayari mwamba wao amekataliwa
Sure,
insongoza kwa utapeli na maandalizi ya ya fujo right?🐒
 
Baada ya mahesabu ya mgombea uenyekiti wao kugoma kabisa, na kwamba kura za wajumbe wa mkutano mkuu haziko upande wao licha ya kufanya press conferences wiki nzima kwa kutambulisha wajumbe, wenyeviti na makatibu wa chadema feki,

Hivi sasa wanajipanga kuingia ukumbini kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi huo haufanyiki kabisa kwa kisingizio cha maandalizi ya udanyanyifu, rushwa kutoka kambi ya mbowe na baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa upande wao kuzuiwa kuingia ukumbini baada ya kutokidhi vigezo vya uthibitisho wa ujumbe wao.

Infact,
Lema na baadhi ya wafuasi wa Lisu mathalani pumbalu, mwaipaya na heche wanaandaa wajumbe feki kutoka maeneo mbalimbali nchini na kujaribu kuwapa uhalali kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, ili hatimae wakifika ukumbini wazuiwe kuingia ili iwe kisingizio cha wao kushindwa na kuvuruga uchaguzi huo.

Mbaya zaidi,
inadaiwa wanajiandaa kuingia ukumbini na silaha mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyembe ili kulazimisha mgombea wao ashinde uchaguzi licha ya kutokuungwa mkono na wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa.

Mpaka sasa,
kuna dalili na ishara zote za vurugu na uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi wa chadema Taifa wa Jan 21.2025.

Natoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuchukua tahadhari zote na kuchukua hatua muhimu stahiki za kudhibiti hali hiyo kabla ya uharbifu na hali hiyo ya uvunjifu wa amani inayopangwa haijawa mbaya zaidi

Ndugu mdau,
Una maoni gani kwenye hili?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hii ndio sababu sio kila kitu cha kale kinachogunduliwa na wana akiolojia wa sasa ni cha kwali. Vingine viliwekwa ama kuandikwa na machawa wa enzi hizo. Fikiria wana akiolojia wa mwaka 3,000 wakija kuchimbua ushahidi wa kiakiolojia kuhusu siasa za Tanzania wakakutana na maandishi haya, watawalisha jumuiya ya wasomi wa wakati huo upupu kuwa hali ndivo ilivyokuwa
 
Back
Top Bottom