Hao watu wenye silaha, mumewaandaa kabla ili muwasingizie. Umejuaje wana silaha nyembe na matakataka yakoKwa siku unafungua thread lukuki kumchafua mtu mmoja. Mpaka unachefua. Hata watu wasiompenda Lissu wanakuona kinyaaa, maana umezidisha chuki
Umekazania neno kibaraka, lakini huna mfano wowote wa yeye kuwa kibaraka.gentleman,
acha upotoshaji, uzushi na tuhuma za kupika kama kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,
au wewe mie mercenary wake?π
Gentleman,Kwa siku unafungua thread lukuki kumchafua mtu mmoja. Mpaka unachefua. Hata watu wasiompenda Lissu wanakuona kinyaaa, maana umezidisha chuki
Umekazania neno kibaraka, lakini huna mfano wowote wa yeye kuwa kibaraka.
Sina mihemko. Nakuona mwehu tu. Siasa naijua kuliko wewe, ila napenda haki na ukweli. Mimi nimekata kadi ya CCM kabla hujazaliwa.Gentleman,
kueleza ukweli hapachoshi kwasabb ukweli unaweka watu huru,
sasa wewe ukikasirika, ukipata mihemko, ukitapika au kuharisha kwasabb ya kuambiwa ukweli,
hilo ni suala kako binafsi, linanihusu nini mimi gentleman?
mimi mimi siko hapa kumchukia au kumpenda mtu bali kueleza ukweli π
Kibaraka haina mbadala hiyo gentleman.Umekazania neno kibaraka, lakini huna mfano wowote wa yeye kuwa kibaraka.
Ukitaka uheshimike eleza vitu vilivyonyoka. Ukitunga matakataka kama yale mliyomtungia Mbowe eti amepanga kukata miti nchi nzima utafikiri ana mradi wa kuuza kuni. Ili afanye ugaidi.Lema na nyembe zao watazuiliwa nje ya ukumbi π
sasa kama siasa unaijua makasiriko ya nini gentleman π€£Sina mihemko. Nakuona mwehu tu. Siasa naijua kuliko wewe, ila napenda haki na ukweli. Mimi nimekata kadi ya CCM kabla hujazaliwa.
Usingempiga risasi angefikaje Ubelgiji, au huna habari alienda huko akiwa kitandani toka Nairobi. Wewe mbona ni kibaraka au mtetezi wa waovu.Kibaraka haina mbadala hiyo gentleman.
kwa faida ya wadau tu,
Lengo la kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa mwaka moja tu ni kuhakikisha vijana wa kiume wa chadema wameo au wameolewa ubeligiji ndoa za jinsia moja anazodai ni haki. Eti hiyo ndio njia rahisi ya vijana wa chadema kupata kazi nje ya nchi
Ni aibu na fedheha kwa Taifa π
Nijibu nini. Tutakuuliza lete ushahidi wa hizo silaha, nyembe ulizowaona nazo.sasa kama siasa unaijua makasiriko ya nini gentleman π€£
sina haja kujua wewe ni wa chama gani, ningefurahi mbobevu wa masula ya siasa kutoa au kujibu hoja kwa mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya hoja yangu, kuliko kimbwelambwela na kujifua kifupi bila point π
kazi na jukumu langu ni kueleza ukweli gentleman,Ukitaka uheshimike eleza vitu vilivyonyoka. Ukitunga matakataka kama yale mliyomtungia Mbowe eti amepanga kukata miti nchi nzima utafikiri ana mradi wa kuuza kuni. Ili afanye ugaidi.
Mwenye point nani. Umetoa tuhuma za kuhatarisha usalama wa nchi kisiasa na huna ushahidi kuwa umewaona na silaha. Vinginevyo umepewa pesa uwanunue wahuni uwapeleke wafanye vurugu. Mwehu wewe.sasa kama siasa unaijua makasiriko ya nini gentleman π€£
sina haja kujua wewe ni wa chama gani, ningefurahi mbobevu wa masula ya siasa kutoa au kujibu hoja kwa mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya hoja yangu, kuliko kimbwelambwela na kujifua kifupi bila point π
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi alidai chadema kuna rushwa, alileta ushahidi au ni kubweka bweka tu mtaani na kupiga mdomo?Nijibu nini. Tutakuuliza lete ushahidi wa hizo silaha, nyembe ulizowaona nazo.
Nonsense!Baada ya mahesabu ya mgombea uenyekiti wao kugoma kabisa, na kwamba kura za wajumbe wa mkutano mkuu haziko upande wao licha ya kufanya press conferences wiki nzima kwa kutambulisha wajumbe, wenyeviti na makatibu wa chadema feki,
Hivi sasa wanajipanga kuingia ukumbini kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi huo haufanyiki kabisa kwa kisingizio cha maandalizi ya udanyanyifu, rushwa kutoka kambi ya mbowe na baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa upande wao kuzuiwa kuingia ukumbini baada ya kutokidhi vigezo vya uthibitisho wa ujumbe wao.
Infact,
Lema na baadhi ya wafuasi wa Lisu mathalani pumbalu, mwaipaya na heche wanaandaa wajumbe feki kutoka maeneo mbalimbali nchini na kujaribu kuwapa uhalali kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, ili hatimae wakifika ukumbini wazuiwe kuingia ili iwe kisingizio cha wao kushindwa na kuvuruga uchaguzi huo.
Mbaya zaidi,
inadaiwa wanajiandaa kuingia ukumbini na silaha mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyembe ili kulazimisha mgombea wao ashinde uchaguzi licha ya kutokuungwa mkono na wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa.
Mpaka sasa,
kuna dalili na ishara zote za vurugu na uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi wa chadema Taifa wa Jan 21.2025.
Natoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuchukua tahadhari zote na kuchukua hatua muhimu stahiki za kudhibiti hali hiyo kabla ya uharbifu na hali hiyo ya uvunjifu wa amani inayopangwa haijawa mbaya zaidi
Ndugu mdau,
Una maoni gani kwenye hili?π
Mungu Ibariki Tanzania
Mwenye point nani. Umetoa tuhuma za kuhatarisha usalama wa nchi kisiasa na huna ushahidi kuwa umewaona na silaha. Vinginevyo umepewa pesa uwanunue wahuni uwapeleke wafanye vurugu. Mwehu wewe.
Inakuhusu nini. Wewe ni mwana ccm. Wakifanya fujo viachie vyombo vya dola. Mimi mwana ccm mambo ya Chadema yananihusu nini. Shida ni pale unatunga mambo ya hatari.wiki nzima lema amefanya press conference ambazo zimegoma kuwin support ya wajumbe wa mkutano mkuu kumchagua kibaraka.
uamuzi wao wa mwisho baada ya kugundua hilo,
wameamua kupanga vurugu na fujo ili uchaguzi uharibike kwa visingizio vya udanyanyifu na rushwa π