Kambi ya Tundu Lissu, lianzisheni sasa kumkomboa Dr Slaa, maana mnadai kuwa Mbowe siyo "aggressive"

Kambi ya Tundu Lissu, lianzisheni sasa kumkomboa Dr Slaa, maana mnadai kuwa Mbowe siyo "aggressive"

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Screenshot_20250111_100800_Google.jpg


Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIANZISHENI...
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpers mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIAMZISHENI...
Watalianzishaje wakati wako kwenye uchaguzi?
 
Slaa na uzee wake anatafuta nini upinzani hakuna mtu anajua..

Ingekuwa Slaa anamsifia Mbowe ungesikia kwamba kwanini amemuacha akaenda lupango wakati alikuwa ana mtetea..

Kusa makini sana na siasa za walaghai
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIAMZISHENI...
Wazo zuri sana ma-keyboard warriors ndio utawafahamu udhaifu wao!
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIAMZISHENI...
CCM wote wamageuka watetezi wa Mbowe. Hii ni sababu tosha ya kuonyesha kuwa Mbowe ni kibaraka.
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIAMZISHENI...
Lisu ana uagressive gani wa kiuongozi kwa mfano my friends ladies and gentlemen?

yaani aipeleke mpelampela serikali gani kwa mfano? Yaani makelele, porojo na mdomo ndio kupeleka serikali mpelampela? Kweli?🐒
 
Vijana msiwe Wapumbavu

KESI ya Dr Slaa ni jinai, sasa unalianzishaje? 🐼
Vijana wa CCM akili hawana Ndio mana wanatumika vyema na Watawala!
Wahstkai wa Slaa wamenuweka nyuma ya Nondo, wanawatuma hawa ngumbaru wanashawihi kwamba CHADEMA wavamie mahakama au polisi Ili warudi mtaani waseme CHADEMA hawafuati utawala wa Sheria!
Hawa jamaa ni wahuni sikutemea wangechukua sides kwenye huu uchaguzi and in particular kumsaport Mbowe!
 
Maji hayazuiwi kwa mkono. Chadema wakikaa kimya wakati kama huu , msaada utawajia watanganyika kutoka mahali pengine, nao wataokolewa ; lakini chadema itakufa,na jamaa ya baba yake chadema itaangamia. Ni nani ajuaye pengine Lissu anafanywa mwenyekiti kwa ajili ya wakati kama huu!
 
Wazo zuri sana ma-keyboard warriors ndio utawafahamu udhaifu wao!
Wakimminya vizuri atawataja hao watu waliotoa rushwa, clubhouse imemchafua sana Mh Mbowe. Nafikiri Dr Slaa anapaswa kuwa mfano ikiwezekana aletwe na Maria Sarungi wamuweke ndani nae. Dr Slaa amekiri amepewa ushahidi na watu wa usalama sasa ni wakati sahihi atoe ushahidi
 
Back
Top Bottom