Kambi za Jeshi la Marekani Zashambuliwa na Iran nchini Syria


Kwanza Wiki ilio pita Marekani Alilalamikia Urusi Kurusha Ndege kwenye Anga Eneo Zilipo kambi zake Syria,
Anasema Urusi imekuwa ikirusha ndege zake za kivita Mara 25 kwa siku eneo hilo
Na Mrusi akasema Angalile ni Mali ya Syria hivyo Marekani Hana haki nalo na Ataendelea Kuruka
 
Sema sijapenda kabisa hili tukio
Sijapenda kabisa
Haiwezekani na kwanii
Wamekufa wachache et mmoja

Hapo nilitamani kusikia us solder 500 died and 2000 injured

Sasa kamoja kwa 5

Iran tusikubali turudie
Hata mm sijapenda

Unauaje kamtu kamoja upuuzi mtupu [emoji35][emoji34][emoji35]
 
Sema sijapenda kabisa hili tukio
Sijapenda kabisa
Haiwezekani na kwanii
Wamekufa wachache et mmoja

Hapo nilitamani kusikia us solder 500 died and 2000 injured

Sasa kamoja kwa 5

Iran tusikubali turudie
Mwenyewe Nilitamani kusikia Jeshi la Wapuuzi Kama 600 wamefyekwa
ila Japo Hatuwezi pewa Idadi kamili lazima Wafiche
Na Kuna Majeruhi Hivyo idadi yaweza Ongezeka
Kingine nahisi walijua maana Walichokoza wenyewe hivyo Waliishi kama kumbi kumbi Ndani ya Udongo
 
Russia wanaume buana
Kule mashoga hawapawezi kabisa
 
Reuters, citing Syrian sources: Death toll in US strikes on pro-Iran installations in Syria rises to 19 fighters
 
Hiv inaweza kuwa eh? Kwamba mrus kumwambia oya piga tu sasa hiv
Nashangaa jeur ya kujibu wanaitoa wap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…