Kambi za Jeshi la Marekani Zashambuliwa na Iran nchini Syria

Kambi za Jeshi la Marekani Zashambuliwa na Iran nchini Syria

More strikes and explosions are being reported at the US army base near the Al-Omar oil field in Deir Ez-Zur province, Syria
 
Kwa nini waislam wanawachukia sana Taifa kubwa Dunia hata hawa wa Bara Giza ambao wameachwa ambao hizi dini zililetwa na Meli
 
⚡️An Iraqi group named Al-Ghaliboun Brigade has claimed responsibility for the Thursday drone attack on the US occupation forces in eastern Syria. — Mehr
 
Kwanza Wiki ilio pita Marekani Alilalamikia Urusi Kurusha Ndege kwenye Anga Eneo Zilipo kambi zake Syria,
Anasema Urusi imekuwa ikirusha ndege zake za kivita Mara 25 kwa siku eneo hilo
Na Mrusi akasema Angalile ni Mali ya Syria hivyo Marekani Hana haki nalo na Ataendelea Kuruka
Du kumbe Marekani hajafunga mifumo ya anga kule Uarabuni? Kwann anajiamini Sana kukaa bila mifumo ya Ulinzi ktk Ardhi ya wenyewe.
 
Du kumbe Marekani hajafunga mifumo ya anga kule Uarabuni? Kwann anajiamini Sana kukaa bila mifumo ya Ulinzi ktk Ardhi ya wenyewe.
Kafunga na Hana ubavu wakushamburia Ndege za Urusi pale ni Syria sio Us
 
Iranian armed forces have sent vehicles and weapons to the border near Azerbaijan. Photo shows Fath-360 guided MLRS system
IMG_20230326_172619.png
 
Habari za Hivi punde
Israeli air defense commander: Iran can fire dozens of ballistic missiles at Israel within a few minutes.
 
Habari za Hivi punde
Israeli air defense commander: Iran can fire dozens of ballistic missiles at Israel within a few minutes.
Ballistic zitakuja tu israel siku mkijichanganya kushambulia iran
 
Jana usiku ulikua mkubwa, ilikua piga nikupige,
Nafkri wamepewa go ahead kutoka kwa mrusi kuanza kushambulia vikosi vya marekani na wameapa kuendelea na mashambulizi

Kambi 4 za marekani zilipigwa na kuharibiwa huku jamaa wakijibu kwa mashambulizi ya ndege
Marekani amefanya kosa la kiufundi sana kumsaidia Ukraine. Ni bora angeyamaliza kwa mazungumzo na Urusi ili Urusi aachane na vita ya Ukraine. Kwa sasa Mrusi ana uhuru wa kumsaidia hasimu yeyote wa Marekani.
 
Back
Top Bottom