Kambi za magaidi wa Hezbollah Lebanon hakukaliki, waanza kuficha makombora yao, Israel yasema kipigo kiko palepale

Kambi za magaidi wa Hezbollah Lebanon hakukaliki, waanza kuficha makombora yao, Israel yasema kipigo kiko palepale

Hiyo si vita ya Hezbollah na Israel, IDF wakianza vita itakuwa ni vita kamili kati ya Israel na Iran, sio kitu cha kushabikia maana hata Israel hakutakalika.

Hezbollah wanarusha makombora na rockets ambazo Iron Dome haizioni kama zile zimeua watoto wasio na hatia.

Hiyo haitakuwa vita ya upande mmoja kama Gaza huko, vita ikiianza patachimbika na Iran itashusha vyuma havijawahi kuonekana.
Iran aingie mmarekan akae kimya chief. We cha muhim tuombe vita viishe tumechoka kuona watoto wakiteseka. Rocket lililopiga watoto uwanjan ni sababu ilitengenezwa chief. Sio bahat mbaya ile.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Baada ya kuona kuwa Israel haitanii sasa uongozi wa magaidi hatari wa Hezbollah umeanza kuhamisha silaha zake za hatari ikiwemo makombora huku ikijiandaa kukabiliana vikali na IDF.

Serikali ya Israel imeapa kuwa iwe isiwe lazima waifundishe adabu magaidi hayo

Taarifa kamili hapo chini

Mungu ibariki Israel
Mungu ibariki IDF

Hezbollah has begun moving around its precision-guided missiles, as the region braced for a fierce Israeli response to a rocket attack by the terror group over the weekend that killed 12 children.

An official with a Lebanese group told The Associated Press on Monday that Hezbollah’s stance has not changed, and that the Iran-backed organization does not want a full-blown war with Israel, but that if war breaks out it will fight without limits.

The official, who spoke on condition of anonymity to discuss sensitive activities, said Hezbollah since Sunday has started moving some of its “smart precision-guided missiles” to use if needed.
Ulichokiandika na kilichopo kwenye lugha ya malkia ni vitu tofauti.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Baada ya kuona kuwa Israel haitanii sasa uongozi wa magaidi hatari wa Hezbollah umeanza kuhamisha silaha zake za hatari ikiwemo makombora huku ikijiandaa kukabiliana vikali na IDF.

Serikali ya Israel imeapa kuwa iwe isiwe lazima waifundishe adabu magaidi hayo

Taarifa kamili hapo chini

Mungu ibariki Israel
Mungu ibariki IDF

Hezbollah has begun moving around its precision-guided missiles, as the region braced for a fierce Israeli response to a rocket attack by the terror group over the weekend that killed 12 children.

An official with a Lebanese group told The Associated Press on Monday that Hezbollah’s stance has not changed, and that the Iran-backed organization does not want a full-blown war with Israel, but that if war breaks out it will fight without limits.

The official, who spoke on condition of anonymity to discuss sensitive activities, said Hezbollah since Sunday has started moving some of its “smart precision-guided missiles” to use if needed.
Ni hujui kiingereza jamaa ama vipi!!??
Ripoti inasema "Hizbollah imeanza kusogeza makombora yake makubwa ili kuyatumia pale Israel itapotaka kujibu shambulio la Gollan heights".
Inamaana hezbollah wanajiandaa kwa silaha kali zaidi.
Na huko chini wamesema hawana nia na vita kubwa ila kama ikitokea basi Hizbollah itatumia nguvu zake ipasavyo kupigana hiyo vita.
Hivyo Israel nayo ijiandae na ijiangalie.
Maana Hizbollah started to move some of its" smart precision -guided missiles".
Nadhani mnajua madhara yake jinsi yalivyo offensive kama yakitumika.
Taarifa umeleta kiuongo na kishabiki sana.
 
Ni hujui kiingereza jamaa ama vipi!!??
Ripoti inasema "Hizbollah imeanza kusogeza makombora yake makubwa ili kuyatumia pale Israel itapotaka kujibu shambulio la Gollan heights".
Inamaana hezbollah wanajiandaa kwa silaha kali zaidi.
Na huko chini wamesema hawana nia na vita kubwa ila kama ikitokea basi Hizbollah itatumia nguvu zake ipasavyo kupigana hiyo vita.
Hivyo Israel nayo ijiandae na ijiangalie.
Maana Hizbollah started to move some of its" smart precision -guided missiles".
Nadhani mnajua madhara yake jinsi yalivyo offensive kama yakitumika.
Taarifa umeleta kiuongo na kishabiki sana.
Kumbuka israel pia atasogeza makombora yake ya kimkakati delilah, jericho 1 mpaka 3,Extra, popeye, Gabriel
 
Iran aingie mmarekan akae kimya chief. We cha muhim tuombe vita viishe tumechoka kuona watoto wakiteseka. Rocket lililopiga watoto uwanjan ni sababu ilitengenezwa chief. Sio bahat mbaya ile.
Wala hakuna chasababu
Tunaomba vita kote ziishe watu waishi kwa amani
Ila rocket lilitokana na kufeli kuintarcept kimbora ama drone ilotokea lebanon
Kama sababu ya israhell kuingia vitani na hizbullah hajaipata sidhanii kama ataipata tena
Hilo tukio hapo chini limetokea jioni hii zayuni kauliwa
Israhell sio kama hatamani na hawezi kuingia vitani na hizbullah anatamani na anaweza akaingia nae vitani ila sasa anajua kama kupigana na hizbullah haitakua kama kupigana na hamas
Yaani akipigana na hizbullah namna atakayopiga nayeye atapigwa kama anavyopiga

🇱🇧🇮🇱⚡️- Israeli media are confirming the death of an unidentified resident of Hagoshrim due to shrapnel from a Hezbollah projectile.
 
Kumbuka israel pia atasogeza makombora yake ya kimkakati delilah, jericho 1 mpaka 3,Extra, popeye, Gabriel
Hata asogeze na nyuklia kabisa lhaitazuia kupondwa pondwa
Silaha pekee ambayo itakayoifanya israhell kushinda nikutumia nyuklia kama anti yake alivyofanya kule japan laa sivyo hatoboi
 
Hiyo si vita ya Hezbollah na Israel, IDF wakianza vita itakuwa ni vita kamili kati ya Israel na Iran, sio kitu cha kushabikia maana hata Israel hakutakalika.

Hezbollah wanarusha makombora na rockets ambazo Iron Dome haizioni kama zile zimeua watoto wasio na hatia.

Hiyo haitakuwa vita ya upande mmoja kama Gaza huko, vita ikiianza patachimbika na Iran itashusha vyuma havijawahi kuonekana.
🤔🤔🤔🤔🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏
 
Wadau hamjamboni nyote?

Baada ya kuona kuwa Israel haitanii sasa uongozi wa magaidi hatari wa Hezbollah umeanza kuhamisha silaha zake za hatari ikiwemo makombora huku ikijiandaa kukabiliana vikali na IDF.

Serikali ya Israel imeapa kuwa iwe isiwe lazima waifundishe adabu magaidi hayo

Taarifa kamili hapo chini

Mungu ibariki Israel
Mungu ibariki IDF

Hezbollah has begun moving around its precision-guided missiles, as the region braced for a fierce Israeli response to a rocket attack by the terror group over the weekend that killed 12 children.

An official with a Lebanese group told The Associated Press on Monday that Hezbollah’s stance has not changed, and that the Iran-backed organization does not want a full-blown war with Israel, but that if war breaks out it will fight without limits.

The official, who spoke on condition of anonymity to discuss sensitive activities, said Hezbollah since Sunday has started moving some of its “smart precision-guided missiles” to use if needed.
Taifa teule piga magaidi hao
 
Bado hezbollah maana nae anawashwa kila kukicha anampapasa simba wa yuda mkia
Usishabikie hiyo vita maana nchi za kiarabu zitaingilia pia ili kupunguza makali ya Israel. Hawatakubali vita ienee gulf region.

Jana Turkey imesema wazi itatuma majeshi Gaza, ngoja vita ianze, surprises hazitahesabika. Itakuwa vita kubwa na pande zote mbili watu wengi watauawa. Haitakuwa kama Gaza.

Kuna mwanahabari mzungu aliripoti kuona ndege zilizobeba makombora zikishuka Beirut toka Iran.
Hii vita ni ya hatari sana kwa Israel na wao wanajua. Iran si waarabu ni watu hatari sana kwa silaha na vita.
Usishabikie sana Mkuu.
 
Wala hakuna chasababu
Tunaomba vita kote ziishe watu waishi kwa amani
Ila rocket lilitokana na kufeli kuintarcept kimbora ama drone ilotokea lebanon
Kama sababu ya israhell kuingia vitani na hizbullah hajaipata sidhanii kama ataipata tena
Hilo tukio hapo chini limetokea jioni hii zayuni kauliwa
Israhell sio kama hatamani na hawezi kuingia vitani na hizbullah anatamani na anaweza akaingia nae vitani ila sasa anajua kama kupigana na hizbullah haitakua kama kupigana na hamas
Yaani akipigana na hizbullah namna atakayopiga nayeye atapigwa kama anavyopiga

🇱🇧🇮🇱⚡️- Israeli media are confirming the death of an unidentified resident of Hagoshrim due to shrapnel from a Hezbollah projectile.
Hizo hesabu zako za kishumundu wenzio hawana mkuu. Sio unaona alichofanya Beirut jion hii? Jamaa hawaogopi vita kama unavyofikiria
 
Hizo hesabu zako za kishumundu wenzio hawana mkuu. Sio unaona alichofanya Beirut jion hii? Jamaa hawaogopi vita kama unavyofikiria
Hawaogopi vita
Ngojea uone jino kwa jino na wao lazima watapigwa wanapigwa tokea oktoba na hizbullah na bado watapigwa kwa huo ujinga wao
 
Back
Top Bottom