Kamfuma mkewe na mwanaume mwingine, hapo hapo ametoa talaka; hakuna kubembelezana

Kamfuma mkewe na mwanaume mwingine, hapo hapo ametoa talaka; hakuna kubembelezana

Na hadi wa leo na utu uzima wake bado anakitombeza huyo CEO busy na kazi busy na mitkasi za maisha, halafu anambana mkewe mbayaa ni mama wa nyumbani kila kitu kinafanywa na dereva hata qkienda sokoni yuko na dereva na dada wa kazi. Haruhusiwi kutoka nyumbani mwenyewe.
Kuna muda anatia huruma huyo mmama, sema maisha mazuri hivyo anavumilia tuu na watoto wao washakuwa wakubwa.
Watombeshaji wa nje ndivyo walivyo wao huona wivu kwasababu ayafanyayo huko anajua na mkewe atafanyiwa
 
CHA KUSHANGAZA,
UKIISHA FUMANIA MKE NA MWANAUME MWINGINE.
HAWAFIKI MBALI, SIO RAHISI HUYO MWANAUME KUOA HUYO MWANAMKE
 
Kuna Mkurugenzi mkuu wa kampuni moja mashuhuri sana TZ, miaka 10 nyuma alimkuta mkewake na mwanaume mwingine (inasemekana alikuwa fundi wa jiko) alimfurumusha mwanaume mwenzake akampa kipigo mkewe nusura iwe kesi kama ya kanumba, bahati yule mwanamke alipata ufa kwenye fuvu iliyomsababishia kjwa anapoteza kumbukumbu mara kwa mara, kupoteza fahamu, matokeo yake alifukuzwa kazi hadi wa leo ni mama wa nyumbani, mumewe hakujigusa hata matibabu ya mkewe, ndugu wa mke ndo walisaidia wakampeleka India ila bado hakurudi kuwa sawa. Na mwanamke alikuwa wale wanawake vipanga darasani na kwenye maisha. Huyo CEO hadi leo yuko na huyo mkewe sema kitombi mbaya tangu kabla hajamfumania mkewe. Udhaifu wake ni wanawake warembo na wenye mikia, mkewe pia ni mrembo na ana mkia sema dawa za kichwa zimemfanya amenenepeana na utu uzima unamuingia basi ndo kabaki na umbo la kimama ila mkia bado unaonekana.

Moral of the story, tulia na wako.
Mkia wa haja au unantamanisha tu?
 
Mkia wa haja au unantamanisha tu?

Ule mkia kwenye dera una tentenente...
Kwenye kikoi unashandaraiziii
Kwenye khanga moko unarindima...

Akitembea mwili unaenda mbele mkia unarudi nyuma....

Sijui wewe unatamanishwa na mkia upi...
 
Ule mkia kwenye dera una tentenente...
Kwenye kikoi unashandaraiziii
Kwenye khanga moko unarindima...

Akitembea mwili unaenda mbele mkia unarudi nyuma....

Sijui wewe unatamanishwa na mkia upi...
Me napenda mikia yote tu mkuu
 
Back
Top Bottom