Kamfuma mkewe na mwanaume mwingine, hapo hapo ametoa talaka; hakuna kubembelezana

Kamfuma mkewe na mwanaume mwingine, hapo hapo ametoa talaka; hakuna kubembelezana

Umpige kisa katoa k yake itombwe nje?
Huyo unatimua tu.
Ukimuuliza mke sababu ya kuchepuka atasimulia makubwa ya humo ndani, sasa mwanaume Kwa kujilinda aibu bora atoe taraka siajabu hakuwa karibu na mkewe busy ndiyo busy hakumbuki kama mkewe anamuhitaji
 
Binadamu bwana,sasa mtu akichepuka wewe unaumia nini hasa? Halafu unaanzaje kumpenda mtu,huwa najaribu nashindwa! Yani from no where unakutana na mtu anampenda? Labda nimetamani tu
 
Kuna wengine wanawafuma 'live' kwenye tendo, lakini wanashindwa kuachana.

Kuna Mkurugenzi mkuu wa kampuni moja mashuhuri sana TZ, miaka 10 nyuma alimkuta mkewake na mwanaume mwingine (inasemekana alikuwa fundi wa jiko) alimfurumusha mwanaume mwenzake akampa kipigo mkewe nusura iwe kesi kama ya kanumba, bahati yule mwanamke alipata ufa kwenye fuvu iliyomsababishia kjwa anapoteza kumbukumbu mara kwa mara, kupoteza fahamu, matokeo yake alifukuzwa kazi hadi wa leo ni mama wa nyumbani, mumewe hakujigusa hata matibabu ya mkewe, ndugu wa mke ndo walisaidia wakampeleka India ila bado hakurudi kuwa sawa. Na mwanamke alikuwa wale wanawake vipanga darasani na kwenye maisha. Huyo CEO hadi leo yuko na huyo mkewe sema kitombi mbaya tangu kabla hajamfumania mkewe. Udhaifu wake ni wanawake warembo na wenye mikia, mkewe pia ni mrembo na ana mkia sema dawa za kichwa zimemfanya amenenepeana na utu uzima unamuingia basi ndo kabaki na umbo la kimama ila mkia bado unaonekana.

Moral of the story, tulia na wako.
 
Kutoa talaka ni very easy lakini maisha baada ya talaka hujaa kumbukumbu nyingi zinazoumiza sana

Na kumbukumbu hizo hubaki nazo mwanaume zikimsumbua. Ila mwanamke aaahh atakuwa busy na watoto, vikoba, umbeya, kujiremba huku na kule anaanza kutongozwa upya...🥺🥺🥺
Keshamsahau bwana wake waliyetalikiana.

Ila ikiwa mwanamke amepigika kimaisha baada ya talaka anakumbuka alikotoka na wengine hurudi kuomba msamaha.

Wako wanaume wanaoomba msamaha wake zao warudiane baqda ya kutalikiana ikiwa kwamba mwanaume ameshindwa kujiendesha maisha bila mwanamke, yale mazoea ya kuwa na mpenzi wako mnaishi pamoja hata kama mlikuwa mnakwaruzana.

Ukikuta mwanamke kuachana na bwana wake anaona ahueni kwenye maisha yake na hataki kurudi alikotoka, ujue huyo mwanaume alikiwa anamfuja huyo mke, alikjwa anamnyanyasa mkewe na mke hakuwa na furaha na ndoa.

Mambo ni mengi muda ni mchache, wacha waendelee kufanya harusi tuendelee kula pilau kila jumamosi. Wakiachana haituhusu 🙄.
 
Binadamu bwana,sasa mtu akichepuka wewe unaumia nini hasa? Halafu unaanzaje kumpenda mtu,huwa najaribu nashindwa! Yani from no where unakutana na mtu anampenda? Labda nimetamani tu
Kuna episode flani ya maisha nilipitia, nikakutana na baba mmoja hivi. Nilimuelewa ila nikamtupilia mbali sababu nilimuona ni mtu yuko busy na maisha yake.
Kumbe alikuwa ananilia timing, siku ya siku akanitongoza, kumbe na yeye alinikubali. Tukaipa nafasi mioyo yetu itathmini tulichokuwa tunafikiri.... mambo yalijipa tulielewana vizuri mnoo ila alikiwa so resistance sababu hakutaka hisia zimpelekeshe. Kiufupi nafsi ilinikubali kama mwenza wake wa maisha na hakuwa na wanawake wengine ila akawa anajizuia akihofu siku nikichepuka au nikiachana nae asiwe mwendawazimu kwa maumivu ya mapenzi....
Tuliachana sababu ya umbali, nilihama eneo alilokuwa anaishi tukakata mawasiliano, ikaishia hivyo.
Miaka 27 iliyopita...🙂
 
Kinachoumiza watu hata sio kitendo cha kuchepuka bali ni FIKRA zao zinazotafsiri tafsiri kitendo hicho yaani tafsiri zinakuwa nyingi ndo ambazo zinaleta maumivu, ukifatilia kwa makini mtu ambaye anafikra nyingi ni rahisi kusamehe ila mwenye fikra nyingi hawezi kusamehe ataishi na maumivu mpaka anakufa, hii mind game ukijua hauwezi teseka na Jambo lolote lile, mwisho jua FIKRA na TAFSIRI zako ndo zinakuumiza.
 
Kuna Mkurugenzi mkuu wa kampuni moja mashuhuri sana TZ, miaka 10 nyuma alimkuta mkewake na mwanaume mwingine (inasemekana alikuwa fundi wa jiko) alimfurumusha mwanaume mwenzake akampa kipigo mkewe nusura iwe kesi kama ya kanumba, bahati yule mwanamke alipata ufa kwenye fuvu iliyomsababishia kjwa anapoteza kumbukumbu mara kwa mara, kupoteza fahamu, matokeo yake alifukuzwa kazi hadi wa leo ni mama wa nyumbani, mumewe hakujigusa hata matibabu ya mkewe, ndugu wa mke ndo walisaidia wakampeleka India ila bado hakurudi kuwa sawa. Na mwanamke alikuwa wale wanawake vipanga darasani na kwenye maisha. Huyo CEO hadi leo yuko na huyo mkewe sema kitombi mbaya tangu kabla hajamfumania mkewe. Udhaifu wake ni wanawake warembo na wenye mikia, mkewe pia ni mrembo na ana mkia sema dawa za kichwa zimemfanya amenenepeana na utu uzima unamuingia basi ndo kabaki na umbo la kimama ila mkia bado unaonekana.

Moral of the story, tulia na wako.
Acha maisha yaendelee , utakuta huyo mkurugenzi hakuwa karibu na mkewe yupo busy na vimwana huko akizani mkewe hana hisia 😐
 
Acha maisha yaendelee , utakuta huyo mkurugenzi hakuwa karibu na mkewe yupo busy na vimwana huko akizani mkewe hana hisia 😐
Na hadi wa leo na utu uzima wake bado anakitombeza huyo CEO busy na kazi busy na mitkasi za maisha, halafu anambana mkewe mbayaa ni mama wa nyumbani kila kitu kinafanywa na dereva hata qkienda sokoni yuko na dereva na dada wa kazi. Haruhusiwi kutoka nyumbani mwenyewe.
Kuna muda anatia huruma huyo mmama, sema maisha mazuri hivyo anavumilia tuu na watoto wao washakuwa wakubwa.
 
Kuna episode flani ya maisha nilipitia, nikakutana na baba mmoja hivi. Nilimuelewa ila nikamtupilia mbali sababu nilimuona ni mtu yuko busy na maisha yake.
Kumbe alikuwa ananilia timing, siku ya siku akanitongoza, kumbe na yeye alinikubali. Tukaipa nafasi mioyo yetu itathmini tulichokuwa tunafikiri.... mambo yalijipa tulielewana vizuri mnoo ila alikiwa so resistance sababu hakutaka hisia zimpelekeshe. Kiufupi nafsi ilinikubali kama mwenza wake wa maisha na hakuwa na wanawake wengine ila akawa anajizuia akihofu siku nikichepuka au nikiachana nae asiwe mwendawazimu kwa maumivu ya mapenzi....
Tuliachana sababu ya umbali, nilihama eneo alilokuwa anaishi tukakata mawasiliano, ikaishia hivyo.
Miaka 27 iliyopita...🙂
Kitambo sana , vipi hujapenda tena tokea hapo?
 
Back
Top Bottom