Kamfuma mkewe na mwanaume mwingine, hapo hapo ametoa talaka; hakuna kubembelezana

Kamfuma mkewe na mwanaume mwingine, hapo hapo ametoa talaka; hakuna kubembelezana

‎Choose a man with a good heart no matter what his financial status is.

‎Inside the reality of married life you'll see that having a big house, huge savings accounts are only secondary.

‎You'll prefer someone whom you can talk to about anything, someone who's also a worthy priesthood holder and a good father to you're children, someone who's faithful, someone who you can trust.

‎There's no price tag to a happy family.

‎Don't be afraid to marry a work in progress man.

None of us marry perfection; we marry potential.
Changamoto za kimaisha zinawapelekea kutafuta wenye hela, na matokeo yake anakuja kuchepuka na asiye na hela ili apelekewe moto mkali.
 
‎Choose a man with a good heart no matter what his financial status is.

‎Inside the reality of married life you'll see that having a big house, huge savings accounts are only secondary.

‎You'll prefer someone whom you can talk to about anything, someone who's also a worthy priesthood holder and a good father to you're children, someone who's faithful, someone who you can trust.

‎There's no price tag to a happy family.

‎Don't be afraid to marry a work in progress man.

None of us marry perfection; we marry potential.
The problem begins when a woman tries to mold a man into the delusional fantasy she has in her mind; a man that worships the ground she walks on, a man that will sell his his dignity to get her an iPhone X
 
Jamaa amekaa na mkewe kwa zaidi ya miaka 15, lakini mkewe akawa anachepuka na jamaa mwingine huko nje ambaye ni mkataa ndoa.

Baada ya kufumaniwa, akapewa talaka hapo hapo; hajui anaanzia wapi.

Kupitia video hii, kuna cha kujifunza.


View: https://www.youtube.com/watch?v=XNMzdsyaG38

Mwanamke akichepuka jua maisha yako mwanaume yako hatarini sana, ikitokea nafasi ya kukuua akuondoe anakuondoa.✍️✍️
 
Jamaa amekaa na mkewe kwa zaidi ya miaka 15, lakini mkewe akawa anachepuka na jamaa mwingine huko nje ambaye ni mkataa ndoa.

Baada ya kufumaniwa, akapewa talaka hapo hapo; hajui anaanzia wapi.

Kupitia video hii, kuna cha kujifunza.


View: https://www.youtube.com/watch?v=XNMzdsyaG38

Sema hizi kampeni za KATAA NDOA zina upiga mwingi na ajenda zao za NDOA NI UTAPELI,KATAA NDOA uwe HURU,KATAA NDOA ili kijilinda na Magonjwa nyemelezi kama KISUKARI,PRESHA za kupanda na kushuka,BIPOLAR,SONONA,USONJI,magonjwa ni mengi ambayo yana sababishwa na NDOA.

Nadhani ni wakati sahihi kwa wababa na Vijana wa kiume humu kuunda umoja wa kukutana na kuzungumzia maswala haya ya ndoa kwa maana mambo sasa yanazidi kuwa magumu.

Kwa wale ambao tayari wapo kwenye ndoa na wale ambao bado ni vyema wote tukae chini kujuwa mbivu na mbichi vinginevyo tutakuja kutengeneza jamii ya hatari sana mbeleni kwa vizazi vijavyo.
 
Back
Top Bottom