synonym II
Member
- Nov 25, 2024
- 98
- 87
Umeona e, ndo maana wadada wengi napenda washauri wakaze tu, bora kuwa njia kuu kuliko kuachika na kwenda kuwa diversion ya mume wa mwanamke mwingineKamuacha huyo aliyemfumania , halafu na yeye anaenda kuoa aliyeachwa Kwa usinzi, na anamketa hapo na anazaa na mwanaume mwingine akiwa hapo hapo ndani na akiwatesa wanaye.
Maisha ya ndoa hayana mfumo maalumu.