Kamfumania mume wake siku ya Christmas, afanyeje?

Mwanaume huwa hafumaniwi,
 
Hapo wa kulaumiwa ni huyu aliemtonya, huyo sio msamaria mwema ni ibilisi shetwain kabisa! Huyo ndio anataka kuiparanganyisha ndoa ya huyo dada utadhani yeye ana mume wa kumpa akisha achwa πŸ™„
DOH!
shetani tena?
 
Na yeye achapuke siku ya mwaka mpya na ahakikishe mumewe anamfumania.

Itapendeza zaidi akichepuka na mume wa huyo rafiki yake kama kaolewa.
 
Kumbe je? Yeye kilichomshinda kupita na njia zake na kufunga bakuli lake ni kitu gani? Au atanufaika nini huyo mwenzie akiachwa au hiyo ndoa ikivunjika..? Watu wajifunze ku mind their business
kuna watu walimind their business kwenye miradhi business iliua watu!
 
 
Nakuambia mimi hata ukimkuta mke wangu hapo analiwa ukija kuniambia ntakutoa nduki na kipigo juu, unless kama una mke umeniandalia ambae ni malaika. Au unataka nikuoe wewe
sio mbaya kama ushakubalia hali zote au inawezekana haujapenda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…