Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Mkuu Mbu kuna hii kauli ambayo pia inatoka kwa Mke wa mkosaji, "fikiria pia now she even think that binti alicooperate au ulikuwa mchezo wao wa siku nyingi!" ambayo nayo upande wa defence unaweza kuitumia vizuri sana katika utetezi wa case yao.
....kaka, haya mambo hata kwa Dominique Strauss Kahn tuliyasoma bana...
adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe!