Kamfumania mumewe na housegirl!!!!!

Kamfumania mumewe na housegirl!!!!!

Kufanya mapenzi na mtu aliye underage kwa mujibu wa sheria za eneo husika hiyo ni statutory rape hata kama tendo lilitokea by mutual consent.

The logic ni kwamba underage hana uwezo wa kufikiri kwa ukomavu kutoa consent na anaweza kuwa manipulated, kwa hiyo kusema "hata kama tendo lilitokea by mutual consent" ni moot. Underage hawezi kutoa consent. Angeweza kutoa consent asingekuwa underage na kusingekuwa na issue ya age.
 
hivi binti wa miaka 13 wa shule ya msingi
'aki cooperate na ku sex na mwalimu'
utasema hakuna 'ubakaji'???

hivi mnajua maana ya 'ubakaji'?????

kwa taarifa yako BAK mvulana wa miaka 14
akimtongoza mama wa miaka 30 na 'ku sex nae'
kwa mujibu wa sheria za uingereza huyo mama anashtakiwa kwa ubakaji......

mnanichosha ambao hamuelewi haya mambo....

Usiassume tu kwamba watu hawaelewi mambo bila ya kuwa na ushahidi wa kuthibitisha kauli yako. Wengi wanaelewa sheria hizi za ubakaji, lakini hapa hatuna uthibitisho kuhusiana na umri wa huyo binti.
Usilete issue ambazo hazipo BOSS, tunazungumzia huyu binti ambaye dada wa muhusika ameshasema kwamba Muhusika anadhani kwamba huyu binti alianza huu mchezo siku nyingi na si ajabu aliamua kusema kwamba amebakwa baada ya kufumaniwa.
Hii issue ya mvulana wa miaka 14 hapa si mahali pake, inahitaji thread nyingine kabisa na hii iachwe kama ilivyo. Tusubiri labda Kaunga anaweza kuja na ushahidi zaidi ama wa kuthibitisha huyu binti amebakwa au hakubakwa lakini kwa sasa ushahidi huo bado haujakamilika.

 
Labda niulize hivi:-
1] huyo mme hana nafasi yakusamehewa na mkewe na ndoa ikaendelea?

Hilo ni lake yeye na mkewe. Kama mkewe akiamua kumsamehe wengine hilo haliwahusu.

2]Je huyo mme hana nafasi tena katika jamii?

Binafsi naamini katika second chances kwenye baadhi ya mambo. Katika hili sioni ubaya sana akipewa second chance ili mradi kwenye vitabu vye sheria atatambulika kama sex offender kila aendapo. Ningependa kuona kuwa kuna sex offender registry. Popote pale atakapoenda au kuhamia lazima ajiandikishe kama sex offender.
 
Kufanya mapenzi na mtu aliye underage kwa mujibu wa sheria za eneo husika hiyo ni statutory rape hata kama tendo lilitokea by mutual consent.

nakuachia wewe aisee
Johnie Cochran wetu hapa lol
naona naanza kukasirika now
na jinsi watu wasivyoelewa....
'majirani wamesikia binti akipiga kelele' but still mtu anakuja kusema eti 'binti ali cooperate'
this is absurd...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kaunga, mi nahc umetia chumv hii stor ili kutafuta sympath ya wachangiaji. Kama co ww, bas sista yako kaweka chumv. Hapa hakumfumania mme anambaka hg, bali aliwakuta wakifanya ngono. From there sasa ni ishu tofaut. Na wanaojifanya kumtetea huyo hg wanakosea. pengine hawajakaa na mahausgel wanaotega. Sioni hatia kwa huyo mwanaume.

Angefanyiwa hivo binti yako ndo ungeona kuwa huyo mwanamme hana hatia, na kama ingekuwa ni swala zuri basi mi ningeomba mkeo atembee na houseboy ama msaidizi wenu yeyote wa kiume na usione hatia kwa mkeo!!! Linganisha kati ya huyo mume na house girl alafu unipe jibu nani mjinga?? Then urudi na hayo maneno yako!
 
The logic ni kwamba underage hana uwezo wa kufikiri kwa ukomavu kutoa consent na anaweza kuwa manipulated, kwa hiyo kusema "hata kama tendo lilitokea by mutual consent" ni moot. Underage hawezi kutoa consent. Angeweza kutoa consent asingekuwa underage na kusingekuwa na issue.

Wewe nawe unaleta ligi isiyo na kombe. Underage wa miaka 11 si sawa na underage wa miaka 17 kama age of consent ni 18. Sasa kama underage wa miaka 17 kafanya mapenzi na mtu wa miaka 21 kwa ridhaa yake mwenyewe utasema kuwa hakuridhia kufanya ngono na huyo mwenzake wa miaka 21 licha ya sheria kusema age of consent ni 18?
 
Kaunga, mi nahc umetia chumv hii stor ili kutafuta sympath ya wachangiaji. Kama co ww, bas sista yako kaweka chumv. Hapa hakumfumania mme anambaka hg, bali aliwakuta wakifanya ngono. From there sasa ni ishu tofaut. Na wanaojifanya kumtetea huyo hg wanakosea. pengine hawajakaa na mahausgel wanaotega.Sioni hatia kwa huyo mwanaume.

Sijakuelewa hapo kwenye rangi nyekundu, je unamaanisha hamna ubaya kwa mwanandoa(mume) kungonoka na msaidizi wao wa ndani nyuma ya mgongo wa mkewe? fikiri mara mbili. Kutega maana yake nini?!!.. kinachotegeka kinateguka...!!
 
kabla ya kumshauri huyumdada inaonekana kuna maswali mengi ambayo hayajajibiwa, kwanza inaonekana kuwa huyu dada haishi na mume - wake ' distant marriage' inajulikana risks zake. Pia najiuliza kama huwa wanakutana na mume wake week end mbona tena akawa night baba akalala peke yake?na kama walilala na msichana wenyewe, mbona hakubakwa usiku, ilikuwaje akasubiri asubuhi, muda mkewe anaorudi ?mi sijaelewa, mtoa mada please in need of more clarification.

Everything you see and feel in life, is a result of how you perceive it!
 


nakuachia wewe aisee
Johnie Cochran wetu hapa lol
naona naanza kukasirika now
na jinsi watu wasivyoelewa....
'majirani wamesikia binti akipiga kelele' but still mtu anakuja kusema eti 'binti ali cooperate'
this is absurd...

...afadhali kumbe na wewe umeliona hilo....
mume/shemeji anatafutiwa sababu ya kutetewa hapa.
 
nakuachia wewe aisee
Johnie Cochran wetu hapa lol
naona naanza kukasirika now
na jinsi watu wasivyoelewa....
'majirani wamesikia binti akipiga kelele' but still mtu anakuja kusema eti 'binti ali cooperate'
this is absurd...


Hebu weka ushahidi wa kwamba huyu binti kabakwa na pia uthibitishe kwamba ni under age. Kaunga kashindwa kuthibitisha umri wa huyu binti ambaye inawezekana kabisa akawa na umri ambao ni under age (hivyo kabakwa hata kama aliruhusu kitendo cha kujamiiana) au ni above under age hivyo kwa kuruhusu kitendo cha kujamiiana hakubakwa. Bila kujua umri wa huyu binti si rahisi kabisa kuhitimisha kwamba alibakwa au la.

 
Kufanya mapenzi na mtu aliye underage kwa mujibu wa sheria za eneo husika hiyo ni statutory rape hata kama tendo lilitokea by mutual consent.
Bora useme na wewe watu waelewe maana tukiseMa sisi tunaonekana labda kama vile tunampigia mbuzi gitaa na watu hawataki kutuelewa....
 
mnaweza niita dikteta
lakini mimi kama ni kaka au baba nimeletewa hii kesi
hiyo ndoa 'naivunja' hata binti akisema amemsamehe mumewe.....
kwa nguvu naivunja hiyo ndoa....
hujui unachoongea, ndoa inavunjwa na kaka au baba???
 
...afadhali kumbe na wewe umeliona hilo....
mume/shemeji anatafutiwa sababu ya kutetewa hapa.

Mkuu Mbu kuna hii kauli ambayo pia inatoka kwa Mke wa mkosaji, "fikiria pia now she even think that binti alicooperate au ulikuwa mchezo wao wa siku nyingi!" ambayo nayo upande wa defence unaweza kuitumia vizuri sana katika utetezi wa case yao.

 
hawaelewi
mtu kwanza anajichukia
anaweza hata commit suicide

mi hata sioni unaanzia wapi kutetea hii

atakuwa hajui huyu ....POST TRAUMATIC RAPE SYNDROME usipime ni balaa mtu anaharibikiwa kabisa kiakili asipopata msaada wa maana'
 
Hebu weka ushahidi wa kwamba huyu binti kabakwa na pia uthibitishe kwamba ni under age. Kaunga kashindwa kuthibitisha umri wa huyu binti ambaye inawezekana kabisa akawa na umri ambao ni under age (hivyo kabakwa hata kama aliruhusu kitendo cha kujamiiana) au ni above under age hivyo kwa kuruhusu kitendo cha kujamiiana hakubakwa. Bila kujua umri wa huyu binti si rahisi kabisa kuhitimisha kwamba alibakwa au la.

BAK system yetu saa zingine inaweza kuwa mapungufu such as kutoa identification kama birth certificate lakini still there's a way to prove kwamba huyo binti she's is 16 definitely yeye mwenyewe atakuwa anajua miaka yake na sidhani kama atakuwa anadanganya...
 
kisheria nadhani wanawaita Minority na wakubwa wanaitwa majority

hata ukiingia mkataba na minority huo mkataba ni Null and void

labda mikataba ya kurithi toka kwa wazazi ndo inahesabiwa lakini nayo wakifika age of majority wana option ya kujitoa

Sheria ni ngumu lakini la huyu binti ni oviaz
The logic ni kwamba underage hana uwezo wa kufikiri kwa ukomavu kutoa consent na anaweza kuwa manipulated, kwa hiyo kusema "hata kama tendo lilitokea by mutual consent" ni moot. Underage hawezi kutoa consent. Angeweza kutoa consent asingekuwa underage na kusingekuwa na issue ya age.
 
watu wanachangia humu kwa kuchagua pointi za kujadili.....

nimetoa mfano wa Uingerezaa
mbapo mvulana wa miaka kumi na nne akimtongoza mdada mkubwa
na ku sex nae.....
huyo mdada ndie atashitakiwa kwa kubaka......but still watu hawaelewi nilichomaanisha..

kubaka sio lazima 'nguvu itumike'
na katika nchi zingine hata 'binti akisema ni yeye ndo alianzisha hiyo sex'
bado still unashtakiwa kwa kubaka........
 
BAK system yetu saa zingine inaweza kuwa mapungufu such as kutoa identification kama birth certificate lakini still there's a way to prove kwamba huyo binti she's is 16 definitely yeye mwenyewe atakuwa anajua miaka yake na sidhani kama atakuwa anadanganya...

Mhhhhh! Mkuu TF ukimpata wakili mzuri bila birth certificate ya kuthibitisha huyu binti ni under age basi jamaa anaweza kushinda kesi. Sidhani kama anadanganya kuhusu umri wake, lakini pia inategemea kiwango cha elimu yake. Tulikuwa na HB ambaye mimi nilielewana naye sana na kila wiki nilipojaribu kumuuliza umri wake alikuwa ananipa namba tofauti na alidai alimaliza darasa la saba. Hivyo inawezekana kabisa huyo binti anasema kweli kabisa kuhusu umri wake au kaukosea si kwa kutaka kumtia mtu hatiani bali kwa kuwa kiwango chake cha ufahamu ni kidogo. Leo atasema yuko 16 years old na baada ya wiki atasema ni 18 YO. Ukimwambia mbona mama yako alisema ulizaliwa mwaka huu hivyo unatakiwa uwe na miaka 20? atakwambia basi mama atakuwa ndiye anajua vizuri maana mimi sikumbuki sawa sawa.

 
Back
Top Bottom