Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
nami nlishaona toka mwanzo, wengi wasio na ndoa ndo wanaona kuvunja ndoa ni kitu rahisi,nadhani ni mpango wao mahususi wakutaka kumwiba mume wawatu.
Hekima ikitumika yataisha kwa uzuri kabisa, na amani itarudi na ndoa itapona na binti hatapatashida kisaikolojia.
Hahahahaha eti mpango wa kumwiba mume.
Wanaume wa maana wameisha hata watu wakaibe mbakaji?Tena wasiyefahamu hata anapopatikana?