Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Kwani usipokua nae hapo ndani hao huko nje nao atawaogopa?
My dia kwanza mie cjaolewa na cku nikifikia maamuzi hayo nadhan nitakua kwenye kiwango kikubwa cha mapnz kwa huyo mume,km atakua na hulka hiyo na nikashinawa kuitibia bac akafanyie huko nje c ndan kwangu!