Kamisheni ya Afrika Haki za Binaadamu yakutanishwa na wahuni wa Arusha?

Kamisheni ya Afrika Haki za Binaadamu yakutanishwa na wahuni wa Arusha?

fimbo ya mpera

Senior Member
Joined
Oct 1, 2014
Posts
101
Reaction score
79
WAKUU,

Tangu asubuhi leo Watu wa haki za binaadam wamejifungia wanaojiita The commission on human and peoples' rights wamejifungia chumbani na baadhi ya watu waliookotwa na wanaharakati wanaotumika kulichafua taifa letu na kumchafua Rais Samia kuhusiana na masuala mbalimbali yenye tija kwa Taifa wanaharakati ambao wameweka mbele matumbo yao.

Wanaharakati mambo leo wamemrubuni mmoja kati ya walemavu wa viungo wa muda mrefu na kumpa kiasi fulani cha pesa na kumshawishi aende mbele ya timu hiyo kusema kuwa yeye amekuwa mlemavu kutokana na kuhamishwa kwake kutoka kijiji cha ololosokwani Loliondo huku nwakijua kabisa kuwa huo ni mchezo wa uongo.

Wahuni wengine waliojifungia nao ni madalali wa mifugo wanaouza mifugo yao nchi jirani lakini wanaifugia nchini Tanzania ambao kitendo cha Tanzania kushtuka nakuzuia eneo lao kugeuzwa zizi la kukuzia mifugo ya wanajumuiya kimewakera na sasa wanahaha kutaka kuleta taharuki kwa kudai kuwa wamenyang'anywa mifugo yao.

Hadi muda huu tangu watoe taarifa ya kufanyika kwa mkutano baina ya kamisheni hiyo na waandishi wa habari bado hakuna kilichofanyika huku yakiwa tayari masaa mawili yamepita tangu muda walioutangaza kuwa watazungumza na wanahabari.

Cha kushangaza sasa no kitendo chao cha kujifungia chumbani na kuruhusu taarifa yao ya wanahabari kuandaliwa na wanaharakati wetu mamboleo ambao kila leo wamekuwa wakiishi kutumia uchonganishi na ubabaifu.

Maswali tata

1. Nani yuko nyuma ya kamisheni hii?
2. Dhamira ya siri ya kamisheni hii ni ipi?
3. Kwanini hawajaruhusu watanzania wasikie kinachoongopwa na wahuni waliojifungia nao ndani?
4. Imekuwaje wanaharakati mamboleo wamejua kila kinachojadiliwa ndani huku mamlaka rasmi hazijahusishwa hata kidogo?

uzi zaidi unafuata
 
WAKUU
tangu asubuhi leo Watu wa haki za binaadam wamejifungia wanaojiita The commission on human and peoples' rights wamejifungia chumbani na baadhi ya watu waliookotwa na wanaharakati wanaotumika kulichafua taifa letu na kumchafua Rais Samia kuhusiana na masuala mbalimbali yenye tija kwa Taifa wanaharakati ambao wameweka mbele matumbo yao

wanaharakati mambo leo wamemrubuni mmoja kati ya walemavu wa viungo wa muda mrefu na kumpa kiasi fulani cha pesa na kumshawishi aende mbele ya timu hiyo kusema kuwa yeye amekuwa mlemavu kutokana na kuhamishwa kwake kutoka kijiji cha ololosokwani Loliondo huku nwakijua kabisa kuwa huo ni mchezo wa uongo

wahuni wengine waliojifungia nao ni madalali wa mifugo wanaouza mifugo yao nchi jirani lakini wanaifugia nchini Tanzania ambao kitendo cha Tanzania kushtuka nakuzuia eneo lao kugeuzwa zizi la kukuzia mifugo ya wanajumuiya kimewakera na sasa wanahaha kutaka kuleta taharuki kwa kudai kuwa wamenyang'anywa mifugo yao

hadi muda huu tangu watoe taarifa ya kufanyika kwa mkutano baina ya kamisheni hiyo na waandishi wa habari bado hakuna kilichofanyika huku yakiwa tayari masaa mawili yamepita tangu muda walioutangaza kuwa watazungumza na wanahabari

cha kushangaza sasa no kitendo chao cha kujifungia chumbani na kuruhusu taarifa yao ya wanahabari kuandaliwa na wanaharakati wetu mamboleo ambao kila leo wamekuwa wakiishi kutumia uchonganishi na ubabaifu

maswali tata

1. nani yuko nyuma ya kamisheni hii?
2. dhamira ya siri ya kamisheni hii ni ipi?
3. kwanini hawajaruhusu watanzania wasikie kinachoongopwa na wahuni waliojifungia nao ndani?
4. imekuwaje wanaharakati mamboleo wamejua kila kinachojadiliwa ndani huku mamlaka rasmi hazijahusishwa hata kidogo

uzi zaidi unafuata
karibuni kwa mjadala wakuu
 
ukweli utabainika hakuna haja ya kuogopa, pande zote zitahojiwa.

hakuna shaka kuwa utawla wa Rais Samia ni utawala unao zingatia sheria na haki za binaadamu. Mapungufu madogomadogo hayo huwa haya kosekani na hayawezi kufanya zoezi zima eti halikuzingatia haki za binaadamu.
 
WAKUU
Tangu asubuhi leo Watu wa haki za binaadam wamejifungia wanaojiita The commission on human and peoples' rights wamejifungia chumbani na baadhi ya watu waliookotwa na wanaharakati wanaotumika kulichafua taifa letu na kumchafua Rais Samia kuhusiana na masuala mbalimbali yenye tija kwa Taifa wanaharakati ambao wameweka mbele matumbo yao

Wanaharakati mambo leo wamemrubuni mmoja kati ya walemavu wa viungo wa muda mrefu na kumpa kiasi fulani cha pesa na kumshawishi aende mbele ya timu hiyo kusema kuwa yeye amekuwa mlemavu kutokana na kuhamishwa kwake kutoka kijiji cha ololosokwani Loliondo huku nwakijua kabisa kuwa huo ni mchezo wa uongo

Wahuni wengine waliojifungia nao ni madalali wa mifugo wanaouza mifugo yao nchi jirani lakini wanaifugia nchini Tanzania ambao kitendo cha Tanzania kushtuka nakuzuia eneo lao kugeuzwa zizi la kukuzia mifugo ya wanajumuiya kimewakera na sasa wanahaha kutaka kuleta taharuki kwa kudai kuwa wamenyang'anywa mifugo yao

Hadi muda huu tangu watoe taarifa ya kufanyika kwa mkutano baina ya kamisheni hiyo na waandishi wa habari bado hakuna kilichofanyika huku yakiwa tayari masaa mawili yamepita tangu muda walioutangaza kuwa watazungumza na wanahabari

Cha kushangaza sasa no kitendo chao cha kujifungia chumbani na kuruhusu taarifa yao ya wanahabari kuandaliwa na wanaharakati wetu mamboleo ambao kila leo wamekuwa wakiishi kutumia uchonganishi na ubabaifu

Maswali tata

1. Nani yuko nyuma ya kamisheni hii?
2. Dhamira ya siri ya kamisheni hii ni ipi?
3. Kwanini hawajaruhusu watanzania wasikie kinachoongopwa na wahuni waliojifungia nao ndani?
4. Imekuwaje wanaharakati mamboleo wamejua kila kinachojadiliwa ndani huku mamlaka rasmi hazijahusishwa hata kidogo

uzi zaidi unafuata
mbombongafu
 
ukweli utabainika hakuna haja ya kuogopa, pande zote zitahojiwa.

hakuna shaka kuwa utawla wa Rais Samia ni utawala unao zingatia sheria na haki za binaadamu. Mapungufu madogomadogo hayo huwa haya kosekani na hayawezi kufanya zoezi zima eti halikuzingatia haki za binaadamu.
maoni yao umeyaona?
 
WAKUU,

Tangu asubuhi leo Watu wa haki za binaadam wamejifungia wanaojiita The commission on human and peoples' rights wamejifungia chumbani na baadhi ya watu waliookotwa na wanaharakati wanaotumika kulichafua taifa letu na kumchafua Rais Samia kuhusiana na masuala mbalimbali yenye tija kwa Taifa wanaharakati ambao wameweka mbele matumbo yao.

Wanaharakati mambo leo wamemrubuni mmoja kati ya walemavu wa viungo wa muda mrefu na kumpa kiasi fulani cha pesa na kumshawishi aende mbele ya timu hiyo kusema kuwa yeye amekuwa mlemavu kutokana na kuhamishwa kwake kutoka kijiji cha ololosokwani Loliondo huku nwakijua kabisa kuwa huo ni mchezo wa uongo.

Wahuni wengine waliojifungia nao ni madalali wa mifugo wanaouza mifugo yao nchi jirani lakini wanaifugia nchini Tanzania ambao kitendo cha Tanzania kushtuka nakuzuia eneo lao kugeuzwa zizi la kukuzia mifugo ya wanajumuiya kimewakera na sasa wanahaha kutaka kuleta taharuki kwa kudai kuwa wamenyang'anywa mifugo yao.

Hadi muda huu tangu watoe taarifa ya kufanyika kwa mkutano baina ya kamisheni hiyo na waandishi wa habari bado hakuna kilichofanyika huku yakiwa tayari masaa mawili yamepita tangu muda walioutangaza kuwa watazungumza na wanahabari.

Cha kushangaza sasa no kitendo chao cha kujifungia chumbani na kuruhusu taarifa yao ya wanahabari kuandaliwa na wanaharakati wetu mamboleo ambao kila leo wamekuwa wakiishi kutumia uchonganishi na ubabaifu.

Maswali tata

1. Nani yuko nyuma ya kamisheni hii?
2. Dhamira ya siri ya kamisheni hii ni ipi?
3. Kwanini hawajaruhusu watanzania wasikie kinachoongopwa na wahuni waliojifungia nao ndani?
4. Imekuwaje wanaharakati mamboleo wamejua kila kinachojadiliwa ndani huku mamlaka rasmi hazijahusishwa hata kidogo?

uzi zaidi unafuata
Umeandika kienyeji sana. Na bila shaka huna weledi wowote katika hayo masuala. Na zaidi inaonekana, huenda kichwani mwako huna organization nzuri.

Unawezaji kusema Kamisheni ya haki ni kamisheni Mamboleo? Kwani kuna kamisheni zamani au asili? Ma hiyo asilo na hiyo mamboleo,zinatofautiana vipi? Pili unawezaje kuwaita watu walioitwa na kamisheni kuwa ni wahuni? Umetumia kipimo gani? Lugha unayoitumia inaonesha, huenda, wewe ndiye mhuni mwenyewe.

Wewe unajua utaratibu wa hiyo Kamisheni wa kuwahoji wahanga? Huwa jambo hili linafanyika kwa faragha au in public? Kila kitu kina miongozo yake. Usiishi kwa kukariri. Hata mahakamani, mathalani, kesi zinazohusiana na ubakaji, hufanyika kwa siri. Huo ni itaratibu ambao umewekwa.

Ungekuwa na uelewa mzuri, ungeeleza ni kwa sheria ipi au mwongozo upi unaitaka hiyo Kamisheni kuwahoji watoa habari kwa uwazi ili kuwahoji kwa siri ndiyo lionekane ni kosa.
 
Umeandika kienyeji sana. Na bila shaka huna weledi wowote katika hayo masuala. Na zaidi inaonekana, huenda kichwani mwako huna organization nzuri.

Unawezaji kusema Kamisheni ya haki ni kamisheni Mamboleo? Kwani kuna kamisheni zamani au asili? Ma hiyo asilo na hiyo mamboleo,zinatofautiana vipi? Pili unawezaje kuwaita watu walioitwa na kamisheni kuwa ni wahuni? Umetumia kipimo gani? Lugha unayoitumia inaonesha, huenda, wewe ndiye mhuni mwenyewe.

Wewe unajua utaratibu wa hiyo Kamisheni wa kuwahoji wahanga? Huwa jambo hili linafanyika kwa faragha au in public? Kila kitu kina miongozo yake. Usiishi kwa kukariri. Hata mahakamani, mathalani, kesi zinazohusiana na ubakaji, hufanyika kwa siri. Huo ni itaratibu ambao umewekwa.

Ungekuwa na uelewa mzuri, ungeeleza ni kwa sheria ipi au mwongozo upi unaitaka hiyo Kamisheni kuwahoji watoa habari kwa uwazi ili kuwahoji kwa siri ndiyo lionekane ni kosa.
umeelewa kilichoandikwa lakini?.
 
Jiulize swali kwanini Loliondo/ Ngorongoro wananchi wahamishwe .
Ila kwenye bonde la Ihefu serikali ya mambuzi iamue kupunguza mipaka ya bonde la Ihefu ili vigogo wa chama cha mambuzi waendelee kubakia ndani ya Bonde la Ihefu
 
Umeandika kienyeji sana. Na bila shaka huna weledi wowote katika hayo masuala. Na zaidi inaonekana, huenda kichwani mwako huna organization nzuri.

Unawezaji kusema Kamisheni ya haki ni kamisheni Mamboleo? Kwani kuna kamisheni zamani au asili? Ma hiyo asilo na hiyo mamboleo,zinatofautiana vipi? Pili unawezaje kuwaita watu walioitwa na kamisheni kuwa ni wahuni? Umetumia kipimo gani? Lugha unayoitumia inaonesha, huenda, wewe ndiye mhuni mwenyewe.

Wewe unajua utaratibu wa hiyo Kamisheni wa kuwahoji wahanga? Huwa jambo hili linafanyika kwa faragha au in public? Kila kitu kina miongozo yake. Usiishi kwa kukariri. Hata mahakamani, mathalani, kesi zinazohusiana na ubakaji, hufanyika kwa siri. Huo ni itaratibu ambao umewekwa.

Ungekuwa na uelewa mzuri, ungeeleza ni kwa sheria ipi au mwongozo upi unaitaka hiyo Kamisheni kuwahoji watoa habari kwa uwazi ili kuwahoji kwa siri ndiyo lionekane ni kosa.
Kwa hakika yeye siyo mhuni tu bali mjima (primitive) pia. Uhai wa watu kuishi ni jambo kubwa kuliko mambo engine yote. Mtu yeyote anayebeza harakati za kutetea uhai, hususan kubeza watu wanaodai kudhulumiwa haki hiyo bila kuwasikiliza ni mjima sana, nay, beastly!
 
Back
Top Bottom