Kamishina Kafulila: Biashara kati ya Tanzania na India ni zaidi ya Dola Bilioni 24 ndani ya miaka 10

Kamishina Kafulila: Biashara kati ya Tanzania na India ni zaidi ya Dola Bilioni 24 ndani ya miaka 10

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
KAMISHNA wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (Public Private Partnership-PPP) chini ya Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila, amesema hadi kufikia 2027 India itakuwa Nchi ya tatu kwa ukubwa wa Uchumi Duniani.

India wana Miradi ya PPP 998 katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.

Tuna mengi ya kujifunza kwao. Msikilize hapa
 
Back
Top Bottom