ππ msiichukie kanda. Mko mbali na mambo ya nchi hamuwezi kujua sababu za ndani ndani.Kingai kaulaa Naona IGP katoka kanda pendwa tena!
Soon tutasikia wakili Robert kidando yule alikua kiongozi wa jopo la mawakili wa serikali kwenye kesi ya mbowe nae kateuliwa kuwa jaji.
Hongera Kwa wewe kuwa mwerevu/mwenye akili usiye mwenye nchi/mwananchiπ€Huna akili
Kazi kaziπΆHaya wapinzani wajiandae kubambikiwa kesi ngumu zaidi. Yule shetani Kingai kapelekwa jikoni kabisa kuwa mpika majungu.
Nilifikiri umeweka na kanda kumbe majina tu. Ko kazi kwake atafute kandaSiyo kweli mkuu..
IGP wote kabla ya Sirro hawakutokea huko unakoita Kanda Maalum:
1964-1970: Elangwa N.Shaidi
1970-1973: Hamza Azizi
1973-1975: Samwel H. Pundugu
1975-1980: Philemon N. Mgaya
1980-1984: Solomon Liani
1984-1996: Harun G Mahundi
1996-2006: Omary Mahita
2006-2013: Saidi A Mwema
2014-2017: Ernest Mangu
2017-2022: Simon Sirro
2022--: Camillius Wambura
Naamini atafanya marejeo na kuwekaambo sawaNaona Sirro anakwenda +263 kama Adadi Rajab wakati ule wa JK. Wambura simjui lakini kuhusu Kingai, mama amejishushia credit.
Wengi hamjui katiba inavyotaka.
Vyeo vya ngazi ya URPC anayeteua ni IGP na si rais hivyo kuteuliwa kwa kingai kuwa RPC kigoma rais hajahusika rais akiingilia uteuajinwa RPC moja kwa moja anakuwa kavunja katiba.
Kamisheni kwa maofisa wengi wa jeshi la polisi wanapewa na Rais ila JWTZ ndio wanapewa na Rais.
Kwa hiyo amekomeshwa?Yaani wewe Crimea hata protokali za vyeo serikalini huzijui. Mtu yeyote anaweza kuwa Balozi lakini siyo kila mtu anaweza kuwa IGP. Kwa ivo kutoka kwenye u-IGP mpaka ubalozi siyo sawa.
na kingai je kurudishwa,si balaa kwa chadema..Siyo hivyo mkuu! Wanahisi kuondoka kwa Siro ni kupewa adhabu ili chadema istawi!
[emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wa hovyo sana hawa.
CHADEMA ilishastawi kitambo sana na ndiyo maana kila mwaka inaipa kihoro CCM. Kakomeshwa na nani sasa??Kwa hiyo amekomeshwa?
Na kwasababu hiyo basi chadema itastawi sana?
Sana aliwasurubu sana machadema bila huruma!
Na Kingai ndio huyo kaula., sijui ndio matokeo ya mazungumzo ya Mbowe na hangaya?
[emoji23][emoji23][emoji23]Sukuma gang imekomeshwa
Mnaweza kuwa mnaongea sana kumbe Mbowe ndo kampendekeza huko kwenye maridhiano baada ya kumwambia ajikanyage kwenye maelezo ya kesi.Hivi Kingai ni mfano wa kuigwa ndani ya serikali hii?
Tukisema hili ni pambo la serikali tunakosea?
Na wakati huo huo, akina Mbowe wanaamini wanazungumza na mtu makini kuhusu maswala ya nchi?
Stroke!!Hongera Kingai , wambura na wengine.