Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

Pongezi nyingi sana kwake, namtakie utendaji mwema kwa kumtanguliza Mungu mbele.
 
Wengi hamjui katiba inavyotaka.

Vyeo vya ngazi ya URPC anayeteua ni IGP na si rais hivyo kuteuliwa kwa kingai kuwa RPC kigoma rais hajahusika rais akiingilia uteuajinwa RPC moja kwa moja anakuwa kavunja katiba.

Kamisheni kwa maofisa wengi wa jeshi la polisi wanapewa na Rais ila JWTZ ndio wanapewa na Rais.
Kulipaswa kuwa na aina fulani ya mawasiliano. Vinginevyo huku 'site' watu wanajionea ni vituko tu!
 
Kwani wewe siyo bavicha?

Maana kwa mujibu wa bavicha mbaya wao alishakufa na sasa wanapumua
Bavicha ndiyo kitu gani hicho! Mimi nimekuambia mbya wangu ni ccm! Hao Bavicha wako hawanihusu.
 
Vigogo Serikalini wanabadilishiwa tu namna ya kula hata kama wanavurunda..anatolewa hapa anapelekwa pale..anatenguliwa na huyu anateuliwa na yule..
Huu mfumo sijui utaisha lini yaani ni mfumo unakera sana.
Wanaendelea wao kwa wao tu majina yale yale wakati kuna vijana wenye nguvu wanahitaji nafasi
 
Ndio maana ya NENO irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya!!

Hata vinyonga wa kijani kama wewe na mimi wengi tunataka Rasimu irudi na sio ule utopolo wa Katiba pendekezwa iliyojaa matakwa ya mafisadi wale!!


Narudia tena

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!
Tatizo lenu wapinzani mnajitoa ufahamu kabisa. Katiba pendekezwa ni zao la rasimu baada ya kujadiliwa na wabunge wa bunge la mabadiliko ya katiba. Kinachofanya hata mimi niikatae katiba pendekezwa ni kwamba ni ya ovyo mno yaani bora hii iliyopo ibaki. Na tukilazimisha sana tunaweza pata katiba mbovu kuliko hii iliyopo kwasababu bado idadi ya wabunge wa upinzani ni ndogo mno.
 
Tatizo lenu wapinzani mnajitoa ufahamu kabisa. Katiba pendekezwa ni zao la rasimu baada ya kujadiliwa na wabunge wa bunge la mabadiliko ya katiba. Kinachofanya hata mimi niikatae katiba pendekezwa ni kwamba ni ya ovyo mno yaani bora hii iliyopo ibaki. Na tukilazimisha sana tunaweza pata katiba mbovu kuliko hii iliyopo kwasababu bado idadi ya wabunge wa upinzani ni ndogo mno.
Takwa la katiba ni la Dola Sio matakwa ya mbowe wala samia!!

Bunge la katiba linapoteuliwa halitoingiza WABUNGE Hao WOTE wa CCM Bali wa kimkakati hasa waliopo nje ya Bunge hili!!

Vichwa vitaingia na Sio Hao watoto wa uchafuzi!!
 
Kuna mwanafalsafa aliwahi sema

"free things are never served with respect, learn to hustle"

Leo hii Sirro anakua balozi same as Polepole tena Zimbabwe huku akina Hoyce Temu wakipewa balozi nchi nzito nzito huko Ulaya.
Kweli nimeamini siroo alikuwa kachokwa haswa mm hata nilidhani kuwa atapelekea ujerumani kuwa balox kumbe kaenda kwa mnangwagwa
 
Natamani aanze na kuwaminya kengele za mwenyekiti wa chama cha kitapeli Mh. Mbowe, kamata weka ndani binyaaaaa akome kabisa
 
Hamna lolote kama lipi?

Hivi vijana mnajielewa kweli?

Siro karibu anafikia umri wa kusataafu, sasa kwenda kujilia hela huku katulia zake Zimbabwe ndio kupigwa za uso?
Jambazi kuwa mwanadiplomasia wapi na wapi babu, huwezi kuelewa ila pole
 
Back
Top Bottom