MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hiyo sheria ya mabadiliko ya katiba itatungiwa ufipa au bungeni?We ndo punguza mihemko.
Hakuna wa kuzuia ujio wa KATIBA mpya muda umefika.
Hizo Sheria zitatungwa upya, idadi ya wabunge itakuwa sawa kulingana na makundi husika.
2026 ni mwaka wa kukamilika KATIBA mpya.