Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kuna sanaa kwenye hiyo issuehuelewi nini wakati wakuu wote wamesema hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sanaa kwenye hiyo issuehuelewi nini wakati wakuu wote wamesema hivyo?
Maji si wachimbe kisima hapo fire?Tatizo siyo magari , tatizo ni maji
Magari yataoza!!Kwani maji ya bahari hayafai kuzimia moto?
Kwa chumvi siyo?Magari yataoza!!
Kariakoo yenyewe ilitakiwa iwe imezungukwa na Hydrant Jengo zima, Hilo la kusema watoe taarifa mapema lina msaada gani kama maji yako mbali? Si yale yale tu, wanakuja wamechelewa halafu gari haina maji, nyambaafu kabisa.Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji John Masunga amesema sababu ya kuchukua muda mrefu kudhibiti moto katika Soko la Kariakoo ni kutokana na kutokuwa na sehemu za kuchukulia maji ndani ya Kariakoo hivyo iliwalazimu kuyafuata Airport.
Chumvi na vifaa vya bati ni vitu viwili tofauti, bati linaweza kuliwa ndani ya muda mfupi sana, mfano mdogo mzuri : Angalia nyumba zilizojengwa maeneo ya pwani, nyingi zao mabati yameshaliwa tena na upepo wa chumvi tu na sio chumvi kali kama maji.Kwa chumvi siyo ?