Siku zote huwa yanakuwa na maji tayari ya kuanzia , yanasubilia tukio, ila sasa yakiisha hayo aliyo nayo sehemu ya kuchukulia mengine ndio balaaa!!na yale magari yao akifungua tu koki, lita 15, 000 ni dakika 5 tu yameisha!!ndio pale WANANZENGO, wanasema limekuja na maji nusu!!nayule aliyoko mbali na tukio ila aliliona gari likielekea kwenye tukioa, atakwambia gari limekwenda bila maji!!kwani anaona ndani ya dk 10, limegeuza!!!kwa moto mkubwa maji hayaepukiki kamwe, hizo chemikali lazima zitachanganywa kwenye maji kutegemeana na kundi la moto.