Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hatuna viongozi wanaofikiri kwa lengo jema la kuondoa changamoto tumizonazo kama Taifa.Nadhani fire kijografia wako Karibu Sana na posta ambako kuna bahari, kama maji ya bahari hayana shida uko ndio wangejitahidi kukimbilia kwani foleni yake sio kubwa kuyafikia .inabidi sasa waweke miundo mbinu huko baharini watafute wataalamu wataoweza kuyasafisha na yakawafaa maana kwa Maelezo haya maeneo yote ya city cinter yako hatarini yakishika moto kutokana na changamoto za maji. Tungeachana na miradi mengine isio na tija sana Kama ujenzi wa masanamu na hizo hela tukazielekeza kwenye mambo ya msingi Kama haya la kariakoo lifikishe salamu kwa washika mpini kuwa fire inahitaji kuwezeshwa kimiundo mbinu maana Tuko bize kuyakaribisha majengo marefu nchini lakini kama tunashindwa tu kuyawezesha magari ya chini kuwa na maji itakuwaje hayo majengo ambayo hadi helicopter ushirikishwa kuyazima yakiwaka siku moja .kweli tunahitaji fire wawezeshwe mambo yalokuwa nje ya uwezo wao. Nawapongeza sana kwa kujitahidi kuudhibiti moto
Leo asubuhi nilikuwa natokea ⛪ nkapita kule buguruni malapa kule chini kwenye mabwawa ya maji taka nkakuta ujenzi wa mfereji unaendelea nkajiuliza na nkajijibu mwenyewe kweli tukiwa na viongozi makini mambo yanaenda big up Sana kwa MMBUNGE wa ilala zungu Huyu jamaa anastahili kufia madarakani sio muongeaji sana ila unakuta ndani ya Jimbo lake miradi inaonekana. Vuka tu ule mto msimbazi uingie Kigogo iliyo chini ya kinondoni barabara za mitaani hazieleweki najiulizaga sana kuhusu wabunge walio kinondoni sijui kwanini uisahau Kigogo hata kupitisha greda mitaani kunawashinda .mkuu kweli viongozi makini wako wachache mnoTatizo hatuna viongozi wanaofikiri kwa lengo jema la kuondoa changamoto tumizonazo kama Taifa.
Kila mtu anawaza kiki tu.
Media zetu zinaiharibu hii nchi kwa kuwapa kiki viongozi tulio nao.
Nchi ya kiki, we can't think straight.
Hiyo sio kazi ya CHADEMAChadema badala ya kupigania magari ya kuzima moto yawe mengi hapa nchini na pia maji yapatikane.
Wanaona umuhimu zaidi kupigania mitukano ya hadhara.
Yaani nyumba ya daktari haina hata panadol!!hii nchi bwana utadhania tulidondoshwa tu hapa kwa bahati mbaya tu, halafu mijitu ilikuwa ina waza kuleta drones za kuzima moto, na ulikuwa ukiisikiliza ikitetea hoja zao hizo, utadhania hivi vitu vidogo kama visima vya maji yalishamaliza!!!Yaani hata apo fire hawana sehemu za kuchukulia maji
Ata mimi nilikuwa na wazo kama lako ngoja niendelee kusoma maoni ya wadau nijue nani wakulaumiwaMe nilijua gari la zimamoto linakuwa stand by na maji ikitokea dharula linakimbia haraka kwenye tukio kumbe ikitokea hatari ndo gari linaanza kutafuta maji???
Yaan ofisi ni majengo tu na sehemu ya kupaki gari bila vitendea kazi dah kwaivo wakisikia janga ndo kuwasha magari kuelekea kipawa kuchota maji ndo warudiYaani nyumba ya daktari haina hata panadol!!hii nchi bwana utadhania tulidondoshwa tu hapa kwa bahati mbaya tu, halafu mijitu ilikuwa ina waza kuleta drones za kuzima moto, na ulikuwa ukiisikiliza ikitetea hoja zao hizo, utadhania hivi vitu vidogo kama visima vya maji yalishamaliza!!!
Siku zote huwa yanakuwa na maji tayari ya kuanzia , yanasubilia tukio, ila sasa yakiisha hayo aliyo nayo sehemu ya kuchukulia mengine ndio balaaa!!na yale magari yao akifungua tu koki, lita 15, 000 ni dakika 5 tu yameisha!!ndio pale WANANZENGO, wanasema limekuja na maji nusu!!nayule aliyoko mbali na tukio ila aliliona gari likielekea kwenye tukioa, atakwambia gari limekwenda bila maji!!kwani anaona ndani ya dk 10, limegeuza!!!kwa moto mkubwa maji hayaepukiki kamwe, hizo chemikali lazima zitachanganywa kwenye maji kutegemeana na kundi la moto.Gari si lilitakiwa liwe na maji ama
Liko moja tu hapo mjini?.
kuzima kwa Co2 je?
anyways wengine sie sio wataalamu
Hahahaaha!!pale linapokuwa limepaki huwa lina maji full ya kuanzia tu!!balaa ni pale yanapoishaa!!Yaan ofisi ni majengo tu na sehemu ya kupaki gari bila vitendea kazi dah kwaivo wakisikia janga ndo kuwasha magari kuelekea kipawa kuchota maji ndo warudi
Afu waoga haoo wanaogopaga kuungua wanamwaga maji ata ayafikiHahahaaha!!pale linapokuwa limepaki huwa lina maji full ya kuanzia tu!!balaa ni pale yanapoishaa!!
Hahaaa!!una kuta hata hivyo vitendea kazi vyenyewe ni utata mtupu, hiyo mipira yenyewe unakuta inavuja balaa, maji mengi yanaishia chini!!ki uweli ktk majeshi , zimamoto na magereza yamesahaurika kabisa!!Afu waoga haoo wanaogopaga kuungua wanamwaga maji ata ayafiki
Miaka ya nyuma 2015-, ktk jiji la dar es salaam maeneo mengi ulikuwa unayakuta magari binafsi ya kuzima moto , kama night support, yalikuwa standby , na matukio ya moto yalikuwa yakitokea wanashirikia na hayo ya serikali, ila miaka hii ni nadra sana kuyaona, sijui walikutana na zile sera za ujamaaa, zikawatoa sokoni!!!Kama haya ni kweli Kuna baadhi ya kampuni binafsi za ulinzi wana magari ya zimamoto kwanini wasingesaidia?