Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nilijua gari la zimamoto linakuwa stand by na maji ikitokea dharula linakimbia haraka kwenye tukio kumbe ikitokea hatari ndo gari linaanza kutafuta maji???Moto unazimwa na maji siyo magari manka!
Jeshi halina bajeti lile hata magari ni shida, moto unatokea wenyewe maji hawana.Jeshi la zimamoto lina upungufu wa magari ya kisasa ya kupambana na moto serikali inabidi iwekeze sana kwenye hili jeshi,siombei lakini imagine kituo cha mafuta au gesi kinalipuka leo hii tutaweza kukizima kwa ustadi kweli au ndio tutabakia kusema Mungu atusaidie na sio kupambana na majanga ya moto kwa njia za kisasa zaidi ilikuokoa mali na maisha ya watu
Kwa jeshi letu la zima moto, tatizi lao ni zaidi ya magari, maji wanayafuata wapi?kama jana kariakoo nzima haina sehemu ya kuchukulia maji hadi walikuwa wanaenda kuyachukua uwanja wa ndege!!kweli sehemu kama kariakoo hakuna fire hydrants?!!Jeshi la zimamoto lina upungufu wa magari ya kisasa ya kupambana na moto serikali inabidi iwekeze sana kwenye hili jeshi,siombei lakini imagine kituo cha mafuta au gesi kinalipuka leo hii tutaweza kukizima kwa ustadi kweli au ndio tutabakia kusema Mungu atusaidie na sio kupambana na majanga ya moto kwa njia za kisasa zaidi ilikuokoa mali na maisha ya watu
Wakulaumiwa ni hao zimamotoWakulaumiwa sio zimamoto, zimamoto hawana jukumu la kujenga miundombinu. Lawama zote nazielekeza kwa utawala dhalimu wa CCM
Kama haya ni kweli Kuna baadhi ya kampuni binafsi za ulinzi wana magari ya zimamoto kwanini wasingesaidia?Jeshi halina bajeti lile hata magari ni shida, moto unatokea wenyewe maji hawana.
Jeshi liko unpopular mtu akiunguliwa nyumba anakimbilia Polisi badala ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji...
Kusaidia mpaka uguswe kama hujaguswa huwezi kusaidia na situation ya mjini hapa kila mtu hufanya mambo yake unaweza kupigwa ngeta pale Kariakoo mchana kweupe mpaka ukafa watu wanapita kando tu.Kama haya ni kweli Kuna baadhi ya kampuni binafsi za ulinzi wana magari ya zimamoto kwanini wasingesaidia?
Kazi hapa imekwama kulikoni ndugu yangu John.Kamishna Jenelari wa Zimamoto John Masunga amesema walichelewa kuuzima moto ulioteketeza soko la Kariakoo kwa sababu walilazimika kufuata maji Air port kule Kipawa.
Masunga amesema Kariakoo yote haina matoleo ya maji
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Unawaza vyama wa kati ndivyo vinaongoza nchi.umechanganya agendaChadema badala ya kupigania magari ya kuzima moto yawe mengi hapa nchini na pia maji yapatikane.
Wanaona umuhimu zaidi kupigania mitukano ya hadhara.
Halafu wamevaa maKaazi kweli kweli