Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Mkuu, ukizungumzia kituo cha mafuta, wanakupa majibu simple, utasikia "...mkiona moto kimbilia ndoo za mchanga"Jeshi la zimamoto lina upungufu wa magari ya kisasa ya kupambana na moto serikali inabidi iwekeze sana kwenye hili jeshi,siombei lakini imagine kituo cha mafuta au gesi kinalipuka leo hii tutaweza kukizima kwa ustadi kweli au ndio tutabakia kusema Mungu atusaidie na sio kupambana na majanga ya moto kwa njia za kisasa zaidi ilikuokoa mali na maisha ya watu