Elections 2015 Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

Elections 2015 Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

na mimi nasema wapigwe tu maana hakuna namna nyingine sasa
 
Aisee Ndugai kakosea sana kuna mtu nimeongea nae kaniambia jamaa kafariki kwa brain concasion...ngoja nifatilie zaidi...

Siasa syo mabavu,uadui, ama hoja ya nguvu ni swala la nguvu za hoja.. na tabia aina dawa, sasa ccm washazoea kuwa na kiburi na mabavu ya madaraka kuwaonea vyama vya upinzani, tabia hyo imejengeka mpaka ndani ya chama chao wenyewe na kuanza kuwadhuru their opponents.
 
Hawa ccm wamejisahau sana.

Huyu Ndugai hakustahili kuwa naibu spika.
Shame on him.
 
Nahona kosa la mkutano huo hakukuwa na wale polisi wanaovaa suti
na gloves nyeupe ili mheshimiwa ndungai awaamuru wawatoe nje ya mkutano
wapinzani wake.Nashauri mkutano ujao wahakikishe hilo linafanyika,ili mheshimiwa
asitumie nguvu ya ziada.
 
Hivi ni kwa nini hadi sasa Ndugai hajakamatwa na kufunguliwa mashtaka!
 
waandishi muwe makini jamani, ingawaje Ndugai alichofanya ni kosa kubwa sana, na inatisha naibu spika kufikia hapo lakini kuna tofauti kati ya kumtandika mtu na fimbo na kumpiga na GONGO.
 
Back
Top Bottom