Elections 2015 Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

Elections 2015 Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

kuna tetesi anataka kuhamia ACT wazalendo baada ya kufanya uwasira na naujua atakatwa kama Edo.
 
hahahah nimeshaisikia ulishawahi kusoma kile kitabu cha things fall apart...hahah kakirudie naona wameanza kuanikana wenyewe kwa wenyewe...hii hatari mkuu hadi lowasaa kasema sisiem si ya baba angu kimenuka hahahaah tutarajie mengi mie kadi yao narudisha...nishachafukwaa SIMBA45

Mkuu karibu nyumbani(UKAWA) huku ndyo Kuna tuna tumaini jipya na dhati..njoo tuonganishe nguvu tumtoe huyu mdudu, na jinamizi(ccm) wa maendeleo ya watz
 
mkuu karibu nyumbani(ukawa) huku ndyo kuna tuna tumaini jipya na dhati..njoo tuonganishe nguvu tumtoe huyu mdudu, na jinamizi(ccm) wa maendeleo ya watz

nimeshakaribia mkuu...!yaani ni mwendo wa ukawa....
 
Jaman mimi sishabikii chama chochote japokuwa sera za chadema nazikubali. Kinachonipa maswali ni kuona majimbo mengi yaliyochukuliwa na chadema utekelezaji wa ahadi zao ni sifuri zaidi sana tunawaona wakipiga kelele bungeni na kugoma majimboni hamna wanachofanya. Nilitamani sana tuweke ushabiki pembeni tuwakosoe kabla ya kuwapigia kura za ndio msimu huu. Watanzania wanataka mabadiliko.
 
Ndugai toka bungeni ni mtu wa ubabe naomba wasimamizi wa uchaguzi wamuondoe ktk kinyang'anyilo hicho
 
Dah pole sana kwa majeruhi, Mungu akuponye mapema. Ndungai siasa siyo uhasama!
 
breaking newzz!
yule mgombea aliepigwa na mh ndugai afariki dunia mda mfupi uliopita. akizunguzia tukio hilo mganga mfawidhi wa hospital ya mkoa dodoma Dr.kyeche amesema marehem amepata tatizo LA brain concasion baada ya kupigwa na kitu kizito hivyo kusababisha dam kuvilia kwenye ubongo.
 
Kazi kwelikweli. Hii ni ishara ya kuishiwa hoja. Tatizo la CCM ni kuhodhi madaraka. Hawataki mtu mwingine aingie katika anga zao.
 
breaking newzz!
yule mgombea aliepigwa na mh ndugai afariki dunia mda mfupi uliopita. akizunguzia tukio hilo mganga mfawidhi wa hospital ya mkoa dodoma Dr.kyeche amesema marehem amepata tatizo LA brain concasion baada ya kupigwa na kitu kizito hivyo kusababisha dam kuvilia kwenye ubongo.

Duuu! Hii sasa ni hatari
 
Kutoka spika wa bunge mpaka mfungwa wa kunyongwa,ngoja akaionje jela, R.I.p mtia nia.
 
Back
Top Bottom