Elections 2015 Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

Elections 2015 Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

Kama akipona ndo ajifunze kuwa kumpiga mtu picha bila ridhaa yake ni aina ukorofi na mara nyingi huamsha hasira na ghadhabu.
 
Mpaka octoba ifike,mengi tutayaona na kuyasikia.
 
Uchaguzi mwaka uu si mchezo na ni mgumu kwa chama tawala, wananchi wameamka sana kwa kipindi hiki.
Nadhani Tanzania inatoka stage moja kwenda nyingine.
Loh mwaka uu ni hatari
Toka smartphone zimeingia...zimekuwa so helpful kufanya watu wawe pia smart na general awareness kuhusu politics. Asante mzungu.
 
Toka smartphone zimeingia...zimekuwa so helpful kufanya watu wawe pia smart na general awareness kuhusu politics. Asante mzungu.
Kwa kweli siku hizi watu wanapata habari ya mambo yanayoendelea tofauti na zamani kudaganywa kulikua nje nje.
Chama tawala wajipange sana watu hawadaganyiki wakati uu. Naziheshimu sana smartphone
 
Ile fimbo aliyokuwa nayo ndugai inaitwa subwaa kwa lugha ya dodoma.nahis itakuwa mti wa mkole au msechela.huwa ni ngumu saana.ndugayi amechemsha saana.
 
Pole sana Dr.Chilongani, fimbo umepata na ubunge umekosa, lakini usife moyo wewe bado kijana 2020 sio mbali kajipange upya tu kijana.
 
Pole sana Dr.Chilongani, fimbo umepata na ubunge umekosa, lakini usife moyo wewe bado kijana 2020 sio mbali kajipange upya tu kijana.

Bado hajakosa mpaka kikao cha NEC kitakapoamua kama mchakato utalikuwa fair ama la!!
 
Nakumbuka kwenye bunge hili la mwisho,akiendesha kikao Mh. Naibu Spika alimkejeli Mb wa CUF kutoka ZNz ambaye aliyeanguka ktk kura za maoni kwa kumuambia awape matokeo ya kura huko angali akijuwa jamaa kapigwa chini.Sasa inakula kwa Ndugai.....chezea Pemba weyeee.
 
Hilo fimbo kabeba la nini kwenye mkutano?

 
Last edited by a moderator:
Hivi huyu alipitapitaje ubunge kwa tukio hili, Na akiwa spika vipi hatakuja Na hilo gongo lake bungeni?
 
ndo utashangaa anakuwa spika ,. ccm watu wakorofi korofi ndio inawapendaga.
 
Back
Top Bottom