Mbali na wizi wake akiwa Ikulu , katika Utawala wa Mkapa kumetokea mauaji ya viongozi na wananchi ndani ya nchi hii jambo ambalo ni nchi chache sana ktk Afrika zimekuwa na migogoro ya ndani. Mkapa kaua wapinzani kuliko hata Nyerere alowaweka jela
Kithuku issue hapa ni kumlinganisha Mkapa na marais wengine au kuwalinganisha marais wa Africa na vigezo vyao? Kama vigezo vya scale zao ni 9marks na Mkapa ndo kaongoza kwa kupata 5,bado haja qualify.
Mkandara,
taratibu kaka...huwezi kuwalinganisha Maraisi Museveni na Kagame, na huyu wa kwetu Mkapa. Hao wa wenzetu mikono yao inachirizika damu ya wananchi wao na ile ya Wacongo.
Hata kimaadili huwezi kumlinganisha Museveni na Mkapa. Museveni ana kashfa nyingi tu ktk manunuzi ya vifaa vya kijeshi, na ndugu zake kushiriki ktk uporaji wa madini DRC. Uhuni wa Museveni umesababisha Uganda kuhukumiwa ktk mahakama ya kimataifa ya the Hague.
Kuhusu hao wapinzani, Mkapa amemuua nani jamani? Au unazungumzia mauaji yaliyotokea Pemba. Hivi unafahamu kwamba wakati wa mauaji yale Mkapa alikuwa nje ya nchi?
Jamani Mkapa ana matatizo yake TUHUMA za wizi wa hapa na pale. Wizi wenyewe ni wa kisomi wa kutumia kalamu na mikataba. Mkapa hana tuhuma za kuiba kwa kutumia bunduki,mizinga,vifaru na madege ya kivita, kama Kagame na Museveni mnaojaribu kuwatukuza hapa.
NB:
Hivi mmefikia kudai hali ya Usalama na Kisiasa ni shwari Rwanda,Uganda,na Kenya, kuliko Tanzania?
Mkandara,
taratibu kaka...huwezi kuwalinganisha Maraisi Museveni na Kagame, na huyu wa kwetu Mkapa. Hao wa wenzetu mikono yao inachirizika damu ya wananchi wao na ile ya Wacongo.
Hata kimaadili huwezi kumlinganisha Museveni na Mkapa. Museveni ana kashfa nyingi tu ktk manunuzi ya vifaa vya kijeshi, na ndugu zake kushiriki ktk uporaji wa madini DRC. Uhuni wa Museveni umesababisha Uganda kuhukumiwa ktk mahakama ya kimataifa ya the Hague.
Kuhusu hao wapinzani, Mkapa amemuua nani jamani? Au unazungumzia mauaji yaliyotokea Pemba. Hivi unafahamu kwamba wakati wa mauaji yale Mkapa alikuwa nje ya nchi?
Jamani Mkapa ana matatizo yake TUHUMA za wizi wa hapa na pale. Wizi wenyewe ni wa kisomi wa kutumia kalamu na mikataba. Mkapa hana tuhuma za kuiba kwa kutumia bunduki,mizinga,vifaru na madege ya kivita, kama Kagame na Museveni mnaojaribu kuwatukuza hapa.
NB:
Hivi mmefikia kudai hali ya Usalama na Kisiasa ni shwari Rwanda,Uganda,na Kenya, kuliko Tanzania?
Kuhusu hao wapinzani, Mkapa amemuua nani jamani? Au unazungumzia mauaji yaliyotokea Pemba. Hivi unafahamu kwamba wakati wa mauaji yale Mkapa alikuwa nje ya nchi?
Wakati haya mauaji yanatokea alikuwa rais wa nchi. Hata kama alikuwa nje ya nchi, lakini he was briefed. You must have heard of Presidential Daily Briefing (PDB). There is no handing responsibility to someone else, and the fact that the president has to make the decisions and accept the ultimate responsibility for those decisions.
Jamani Mkapa ana matatizo yake TUHUMA za wizi wa hapa na pale. Wizi wenyewe ni wa kisomi wa kutumia kalamu na mikataba. Mkapa hana tuhuma za kuiba kwa kutumia bunduki,mizinga,vifaru na madege ya kivita, kama Kagame na Museveni mnaojaribu kuwatukuza hapa.
Ama kweli ukipenda hata chongo huita kengeza. Wizi wa kisomi ndiyo wizi gani na unaahueni gani wakati athari za wizi ni zile zile? Kibaya zaidi, huu wizi unatukana intelligence za watu na ku-undermine their judgement. Matokeo ya wizi wa Mkapa ni sisi waafrika kutukanwa na kudharauliwa kuwa tuna low IQ. Na hata ukienda mbele ya sheria Mkapa ni mwizi tu. Tena huu wizi wa Mkapa mbaya zaidi kuliko wa jambazi litumialo bunduki.
Hakuna wizi wa kisomi, na usomi wa mtu does not justify wizi wa aina yoyote. Wizi ni wizi tu.
Jokakuu,
Kila nitakaye mtaja utaniuliza ushahidi kwa hiyo sidhani kama kuna haja ya kufika huko.
Ukiachana na mauaji ya Pemba ama Mwembechai unajua kuna viongozi wangapi waliondoka kwa njia za kutatanisha baada ya kutofautiana na Mkapa kisiasa. Mmoja wao akiwa Dr. Omar Juma......makamu wa rais, sasa kama ni uchawi mtanishika mie lakini list is huge!. Nakuomba uelewe kitu kimoja sio lazima vifo viwe na mkono wake ila mauaji yametokea chini ya Utawala wake. Good governance haina maana kayafanya yeye kwa mkono wake. Leo hii tunamlaumu JK kwa sababu ya matendo ya viongozi wengine chini yake.
Hata hivyo hilo tuzo nimegundua kuwa ni mbinu ya mwekeshaji Mo Ibrahim ambaye ni mmliki mkubwa wa Celtel ambaye kwa ujanja wake aliweza kuingia nchini na kamba kubwa kumwajili Mtanzania kama CEO. Na target yao kubwa ni kuuwa kabisa shirika la simu la taifa jambo ambalo kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kwa msaada mkubwa wa huyo Ben Mkapa.. Kwa hiyo sintashangaa kabisa kama Mkapa atachukua hilo tuzo pamoja na kwamba malalamiko yangu nimeyawakilisha. Na zaidi ya hapo mawazo yangu yanachukuliwa kama mawazo ya mtu mmoja tu...
Masatu,
Ndugu yangu ebu fikiria kitu kimoja hapa. Mkapa anatakiwa kupewa tuzo kama kiongozi BORA AFRICA!...yaani kweli tunaweza kusimama na kutetea mtu huyu kupokea tuzo hilo hali sisi wenyewe tunatafuta njia za kumfikisha mahakamani?...Kisha basi tunasifu kwa sababu kaukuza uchumi wa nchi yetu. Uchumi ambao hakuna hata Mdanganyika mmoja anaweza kutuonyesha kwa ushahidi huo huo zaidi ya takwimu zilkizotolewa na Utawala wake. What if there was nothing ktk federal reserve...
Huyu rais kafanya Biashara akiwa IKULU! hii pekee inaweza mwondoa ktk contenders lakini Wadanganyika mnaamua kulifumbia macho kama vile ni kitu cha kawaida!..
Mjomba najua wewe CCM lakini please simama kama walivyosimama akina Butiku, Mwinyi, Malecela, Ulimwengu kukemea UONGOZI mbaya.. iwe Mkapa ama yeyote yule ambaye atakiuka misingi ya UONGOZI.
Ukiachana na mauaji ya Pemba ama Mwembechai unajua kuna viongozi wangapi waliondoka kwa njia za kutatanisha baada ya kutofautiana na Mkapa kisiasa. Mmoja wao akiwa Dr. Omar Juma......makamu wa rais, sasa kama ni uchawi mtanishika mie lakini list is huge!. Nakuomba uelewe kitu kimoja sio lazima vifo viwe na mkono wake ila mauaji yametokea chini ya Utawala wake. Good governance haina maana kayafanya yeye kwa mkono wake. Leo hii tunamlaumu JK kwa sababu ya matendo ya viongozi wengine chini yake.
Wizi wizi tu, hakuna wizi ulio na afadhali!