Nyangumi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2007
- 507
- 18
Kithuku,
Ningekuelewa kama mfano wako ungekuwa unahusu mtoto wa shule kupewa zawadi kwa kuwa wa kwanza bila ya kuiba mtihani au kuangalizia. Hapa tunazungumzia mtoto wa shule kufaulu mtihani na kuwa kwanza bila njia za ujanjaujanja.Watanzania wanasema Mkapa kaangalizia kwenye mtihani hivyo hastahili hiyo tunzo. Kuiba mtihani na kuangalizia ni makosa katika kum-qualify mwanafuzi katika ushindi. Hatutaki kuambiwa eti Mkapa ni bora kwa kuwa yeye amekuwa wa kwanza ingawa aliangalizia mtihani tu, lakini hakuiba mtihani ukilinganisha na wengine walioiba mtihani. Hapa kama hakuna mshindi halali mwaka upite kapa.
Ningekuelewa kama mfano wako ungekuwa unahusu mtoto wa shule kupewa zawadi kwa kuwa wa kwanza bila ya kuiba mtihani au kuangalizia. Hapa tunazungumzia mtoto wa shule kufaulu mtihani na kuwa kwanza bila njia za ujanjaujanja.Watanzania wanasema Mkapa kaangalizia kwenye mtihani hivyo hastahili hiyo tunzo. Kuiba mtihani na kuangalizia ni makosa katika kum-qualify mwanafuzi katika ushindi. Hatutaki kuambiwa eti Mkapa ni bora kwa kuwa yeye amekuwa wa kwanza ingawa aliangalizia mtihani tu, lakini hakuiba mtihani ukilinganisha na wengine walioiba mtihani. Hapa kama hakuna mshindi halali mwaka upite kapa.