Tasnia ya filamu na muziki wa tanzania umeshavurugwa...
Watu wenye akili timamu wanaongozwa na mtu mmoja kufanya maamuzi...
Hivi Wema ana nguvu gani hadi amewachota akili watu wenye degree zao kufanya maamuzi anayotaka yeye??...
Tasnia ya filamu na muziki wa tanzania umeshavurugwa...
Watu wenye akili timamu wanaongozwa na mtu mmoja kufanya maamuzi...
Hivi Wema ana nguvu gani hadi amewachota akili watu wenye degree zao kufanya maamuzi anayotaka yeye??...
Kiba hajapewa tuzo wapigaji kura ndo walipendekeza hvyo.....mimi nafikir kampen yako ungeielekeza kwa waandaji wa KTMA wabadilishe mfumo wa upigaj kura na sio kuleta bla blaa hapa watanzania wamemchagua mm nafikir tatzo ni mfumo tu,, unasema kiba katunga nyimbo gan za maaana??? Hata kama una chuki sio kiivyo mkuu jitahid kuzuia mihemko yako ili ujadili hoja kwa kubalance hivi nyimbo ya mwana unaiona kwa waswas nini? Ckatai barnaba ni mtunz mzur sana ila pia kutumia kiswanglish nayo tatizo mwana mwanzo had mwisho kiswahil kuntu pia barbana kura hazikutosha vp kuhus zle 7 za mond alistahil zote?? Au kiba tu ndo kosa limefanyika?
umeongea points...
washabiki hao wa barnaba je?walipiga kura
mi juzi nimeshuhudia vijana wanabishana kuhusu hilo
wawili wanasema wamempigia kura aly k,wale wengine hawakumpa barnaba wala yoyote!!
hivi angeshindaje bila wao kupiga kura..?!!
jamani aly ameshinda kwa kura!
huyo wema sepetu mnaemtukana kila siku!!
nyie humu eidha ni wazazi au wazazi watarajiwa!!
mtakuja kukuta watoto wenu wameharibikiwa mkashangaa sana kujifanya mnajua kuwalea kumbe kuna mtu ulimsononesha siku za nyuma
hvyo dhambi ya kumtusi na kumkashifu mtoto wa mwanaume au mwanamke mwenzio itakutafuna kupitia kwa wanao
Kiba hajapewa tuzo wapigaji kura ndo walipendekeza hvyo.....mimi nafikir kampen yako ungeielekeza kwa waandaji wa KTMA wabadilishe mfumo wa upigaj kura na sio kuleta bla blaa hapa watanzania wamemchagua mm nafikir tatzo ni mfumo tu,, unasema kiba katunga nyimbo gan za maaana??? Hata kama una chuki sio kiivyo mkuu jitahid kuzuia mihemko yako ili ujadili hoja kwa kubalance hivi nyimbo ya mwana unaiona kwa waswas nini? Ckatai barnaba ni mtunz mzur sana ila pia kutumia kiswanglish nayo tatizo mwana mwanzo had mwisho kiswahil kuntu pia barbana kura hazikutosha vp kuhus zle 7 za mond alistahil zote?? Au kiba tu ndo kosa limefanyika?
Kiba hajapewa tuzo wapigaji kura ndo walipendekeza hvyo.....mimi nafikir kampen yako ungeielekeza kwa waandaji wa KTMA wabadilishe mfumo wa upigaj kura na sio kuleta bla blaa hapa watanzania wamemchagua mm nafikir tatzo ni mfumo tu,, unasema kiba katunga nyimbo gan za maaana??? Hata kama una chuki sio kiivyo mkuu jitahid kuzuia mihemko yako ili ujadili hoja kwa kubalance hivi nyimbo ya mwana unaiona kwa waswas nini? Ckatai barnaba ni mtunz mzur sana ila pia kutumia kiswanglish nayo tatizo mwana mwanzo had mwisho kiswahil kuntu pia barbana kura hazikutosha vp kuhus zle 7 za mond alistahil zote?? Au kiba tu ndo kosa limefanyika?
Kwel kabisa chuki zisitufanye tupoteze utu, kitu chochote kinachoamuliwa kwa kura za watu kura nying ndo hushinda hata kama tukishindanisha ndege na baiskel upi usafir wa haraka na kura nying zikaenda kwa baiskel..baiskel ndo imeshinda kwa kura mimi nadhan tatizo liko kwenye mfumo na vigezo vya washirik kwenye categories, sion sabab ya kumlaum kiba sasa kama aliwekwa kwenye categories hzo mbn hamkuandamana atolewe kabla ya cku ya tuzo? Au baada ya kushinda ndo walijua alikuwa kwenye hzo categories? Watanzania bhana na tusipo angalia hata kwenye uchaguz mkuu wa Rais tutamchagua mtu akishashinda tutakuja tena kulalamika na kuandamana kwamba hafai badala ya kuandamana au kupinga kipind hik cha kuteuliwa na vyama muda wa kulalamikia tume ya uchaguz ni huu na sio baada ya uchaguz bt sory kwa kuingiza siasa hapa ila ni mfano wa Watz tulivyo!