idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Kama Siti alivua taji la Miss Tanzania baada ya kuonekana kuna udanganyifu kwenye wasifu wake .
Na wewe tuzo ya utunzi bora mrudishie Barnaba, tuzo ya utumbuizaji bora mpelekee Diamond.
Hizo tuzo umepewa sio kwa sababu ya uwezo wako,ila kwa sababu ya maamuzi wa mabepari wa mziki Tanzania.
Hebu jiulize umefanya utumbuizaji gani kwa mwaka jana had ustahili tuzo ya mtumbuizaji bora ?
Umetunga nyimbo gani za maana hadi ustahili tuzo ya mtunzi bora.
Rudisha tuzo ulizopendelewa ili kujenga heshima yako ,pambana kwa kazi sio fitna.
Mimi ni shabiki wako ila upepo unaovumishwa haufanini na kiwango chako .
Na wewe tuzo ya utunzi bora mrudishie Barnaba, tuzo ya utumbuizaji bora mpelekee Diamond.
Hizo tuzo umepewa sio kwa sababu ya uwezo wako,ila kwa sababu ya maamuzi wa mabepari wa mziki Tanzania.
Hebu jiulize umefanya utumbuizaji gani kwa mwaka jana had ustahili tuzo ya mtumbuizaji bora ?
Umetunga nyimbo gani za maana hadi ustahili tuzo ya mtunzi bora.
Rudisha tuzo ulizopendelewa ili kujenga heshima yako ,pambana kwa kazi sio fitna.
Mimi ni shabiki wako ila upepo unaovumishwa haufanini na kiwango chako .