Kampeni: Kiba rudisha tuzo mbili ulizopewa (sio ulizoshinda)

Dahhhhhhh,hivi msanii gani analifanya live performances kwa mwaka jana.....tumechoka waweka CD na kutuamrisha tuimbe wote......thanx kiba,live performer wa mwaka
 
ulipiga kuraaaa
hv majaji wataamuaje km kura ziko nyingi hata kuchakua inashindikana..?!
mfano km alipata kura 4 huyo bela then kiba millioni je?
Ndiyo kura nilipiga, vipi una hakika gani kuwa kura ndio ziliamua .

Na una hakika gani kuwa Kiba kura zake Ndiyo zilizidi.

Na kwa nini tuzo zake tu ndio zilalamikiwe, hivyo ujue watu wanaona na wanajua.

Mpeni Kiba mbinu mbadala za kupanda sio hizi mnazozitumia hazimsaidii zaidi ya kumchanganya tu.
 
Hebu lets keep voting for diamond jaman huyo kiba awe kapewa au kashinda yote kheri! Atajua yy mwenyew na ktmA yao.vote! Vote! Vote!!!!!
 
mzurimie watu watakufa kwa kijiba mwaka huu hakyamungu
 
Last edited by a moderator:
Arudishe tu mbona kipind kile bushoke alikataa tuzo na kusema sio yake hakustahil......

Naye namshaur arudishe tu mana hakna namna nyingne

Tena arudishe tuzo zote tatu,mtunzi mahiri bongo hapa wote tunajua kama ni barnaba!mwimbaji mzuri pia hakuna wakumzidi Barnaba hata Wema sepetu alishakubali kwamba barnaba kibongobongo hapa hakunaga kama yeye!!

Tuzo ya mtumbuizaji kila mtu anajua kama ni ya CHIBU!
Wimbo bora wa Mwaka unajulikana kabisa kama ni Nani Kama Mama na watu tulipiga kura hivyo,yule mzembe kiba arudishe tu kwa kweli
 
Ndiyo. Naisubiria kwa hamu.!!

Hakuna cha ban wala nini hapa!tunataka Tuzo ziende kwa wahusika kihalali sio kubebwa bebwa tu na watu wachache!

Katika tuzo zilizodharaulika na hazina mvuto basi hizi tuzo zinaongoza!hazijazungumziwa hata siku mbili kwenye vyombo vya habari???

Yaani mpaka huruma kwakweli!
 

Watu mlipiga kura hivyo au wewe ulipiga kura hivyo!!!
 
Anataka kwenda kufanya biashara yake ya ukahaba bungeni

ahahahahaha!!Nakwambia stress mbaya!!Yaani mimba ya Zari imejuwa kuleta shock mjini hapa hakyamungu!alivyokurupuka sasa,utadhani ana majini!!
 
Upo sahihi Kimbley ...Arudishe tuzo za kubebwa afanye kazi kwa bidii ili tumsaport. !
 
Last edited by a moderator:
Upo sahihi Kimbley ...Arudishe tuzo za kubebwa afanye kazi kwa bidii ili tumsaport. !

aahahahaa niliona ile video yake wakati anashangilia ushindi yeye na Abdul na yule jamaa yao mfupi sijui nani(watajua wenyewe).
Yaani hata macho yao yanaonyesha ukwelikwamba walibebwa!hawakua na furaha za kihivyooo!!aibu kweli hii,halafu waliompa hongera ni wasanii wachachee!tofauti na muitikio wa wasanii na radio&tv presenters wanavyohamasisha watu wampigie kura diamond na Vanessa!
Anatamani kurudisha sema tu ndio hivyo anaona atarudi tena shimoni.
 
Last edited by a moderator:
mzurimie watu watakufa kwa kijiba mwaka huu hakyamungu


Hii kitu imeshangaza wengi sana hao majaji sijui walilipwa, ila mbinu zake za kupanda zimekaa kizembe hata ka interview baada ya tuzo hakuna maana anajua hana cha kusema. Yeye mwenyewe lazima akikaa akatafakali anajiona kwanini yeye maana anajua hana cha kuongelea kazi, hiyo comeback zaidi ya kutamkwa kwa jina la Diamond Diamond Diamond Diamond halafu kila linapotajwa kwa kitu anajua RAISI yupo mbali yake kwa sana tu


Anakimbia waandishi wa habari, embu harudi atupe interview asikiwe
 
Last edited by a moderator:

Sijui kwanini Huyu mfalme wao ana matukio haya!?.

Arejeshe tuzo zetu mbili.
 
Aisee!!! Alikiba kapigiwa kura na watanzania wanaoburudishwa nae!! Majaji mnawaonea tu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…