Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hivi mkuu unapoteza muda wako kubishana na hawa watu? Achana nao huo muda fanya mambo yako ya maana.Wenzio wako hapa wanajifariji tu, huoni wanajitekenya na kucheka wenyewe?Watu mlipiga kura hivyo au wewe ulipiga kura hivyo!!!
Enzi hizooooo
View attachment 261281
Ali anaonekana hakua comfortable mbele ya Di.,tangu kitambo kumbe.!!
Sasa naanza elewa mwenye matatizo.
Ali anaonekana hakua comfortable mbele ya Di.,tangu kitambo kumbe.!!
Sasa naanza elewa mwenye matatizo.
Mmmmmmhhhhh...! Maneno tuu hayo time will tell..! Kwan Dmond alikuwa confortable alipogundua Kiba ana tuzo 5...?
Yupo Diamond na raha zake kama kawa anapiga kazi kusaka pesa, wa tuzo 5 anafanya nini?
Anakula bata na mbshe za kila siku...! We hujui kwa nin anacheka...! Let me tell you hapo ndo kipind kile anamuomba kiba amuombee kwa Bob junior akatoke kimziki soo yupo na furaha but king kiba yeye acheke nin wakati alishakuwa famous..! Just ssssshhhh ssssshhhh tuzo kapewa Mmiliki halali
Maneno ndio hayooooo, kama unatunga yako hakuna tabu.
Kijulikanacho na kinachoonekana wote tunajua anayetangaza TZ nchi za nje ni Diamond, Jina lake limo vinywani mwa wengi na inazidi.
Usisahau kumpigia kura
Asante but Ukweli unaufahamu but ukitaka debate me ntakuwa chairperson koz you people never admit dat de king kwa sasa ni nani...? Anyway about vottn siwezi kuwa kiparashilala wa Dmond..! Hata hivo Africa we are one Right..! Basii discretion ipo kwa mpiga kura