Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 683
Habari wakuu,
Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.
Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.
CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.
Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi
Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.
Asante
Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.
Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.
CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.
Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi
Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.
Asante