Uchaguzi 2020 Kampeni meneja wa CCM 2020 ni nani? Nayaona makosa ya kiufundi mengi sana

Uchaguzi 2020 Kampeni meneja wa CCM 2020 ni nani? Nayaona makosa ya kiufundi mengi sana

Juzi nilimsikiliza Dr. Marcos Albanie akiwa mwanza (ambae alijitambulisha kama mshauri wa Tundu Lissu) alisema kwa wiki tatu hizi za mwanzo CCM wamekuwa kwenye defensive position, sasa kinachofata awamu ya pili wao kama chadema wanaenda kupasua kichwa cha ccm.
Tumewapeleka mperampera na mgombea wetu ndio kwanza anakuwa mbichi
 
Tutaweka tu, ngoja mwezi wa lala salama ufike...
 
Kwa kifupi Bashiru, Pole pole na Magufuli sio wanasiasa hata kidogo, wameparamia hiyo fani. Mimi niko upinzani Ila Nape, mzee Makamba na Kinana walikuwa wanasiasa ndani ya CCM. Asikudanye mtu siasa ni fitina.

Habari ya ununuzi wa ndege, SGR, barabara na ujenzi wa mahospitali ni wajibu wa serikali hakuna jipya hapo. CCM inahitaji msaada ili kupambana na TL. Vinginevyo kuna ujio wa KANU Tanzania.
True
 
KWANI CCM HADI IANDAE KAMPENI MENEJA WA NINI? KWANI KUNAUPINZANI TANZANIA MWAKA HUU MPAKA CCM ITUMIE NGUVU KUBWA KUPAMBANA?? SISI TUNAJUA MPINZANI WETU NI MABEBERU. ILA TUTAWAGALAGAZA ASUBUHI SAANA.
Nasikia kawaita Ma DED kumhakikishia ushindi wa chama chake au kama hawawezi kazi hiyo basi atafute mbinu nyingine kwa Wateule wake wengine. Bado kuna mvutano wa kimaamuzi. Hali ni mbaya huko ccm wewe endelea kukenua meno huku JF.
 
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante
Maji shingoni kitanzi hakitoki , kampeni meneja bila shaka atakuwa mwenyewe kiongozi wa malaika yesu wa ccm na yesu wa Lugola .
 
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante
Kampeni Meneja ni Chakubanga, Polepole
 
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante
Kinachofurahisha ni kwamba imekuchukua muda mrefu kufuatilia kampeni za CCM mpaka ukaja na uzi. Ahsante sana!
 
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante
Tatizo ni mgombea urais wa CCM ukimshauri tu anaona unamdhalilisha na unafukuzwa, hivyo mwache afanye kila kitu mwenyewe. Naona sasa wamelazimika kuwaita wasimamizi wa uchaguzi majimbo yote kuwapa masharti makali.
 
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante
Madaraja, fao la kujitoa, mishahara na madaraja ya wafanyakazi, Korosho za Mtwara na SGR ndiyo vinavyotupigia Kampeni
 
Back
Top Bottom