Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya
HAWA WA 2015 WAMEAMBIWA WANAWASHWA WASHWA HIVYO WAACHE KUTIA KIWINGU WAKAE KIMYA WAWAACHIE VIJANA!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya
Kama alitukana mamba je, tuliwaambia ccm mgombea wao hauziki hawakusikia,waombe poo kwa tume wabadili mgombea angalau kuambulia hata kura chake.2015 watu waliichoka ccm.2020 ccm na mgombea wake vyote vimechokwa.Habari wakuu,
Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.
Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.
CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.
Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi
Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.
Asante
Imekufa kifo Cha mende Kama ya mahakama ya mafisadiIle kauli mbiu ya Tz ya viwanda imeishia wapi?
Kwa kifupi Bashiru, Pole pole na Magufuli sio wanasiasa hata kidogo, wameparamia hiyo fani. Mimi niko upinzani Ila Nape, mzee Makamba na Kinana walikuwa wanasiasa ndani ya CCM. Asikudanye mtu siasa ni fitina.
Habari ya ununuzi wa ndege, SGR, barabara na ujenzi wa mahospitali ni wajibu wa serikali hakuna jipya hapo. CCM inahitaji msaada ili kupambana na TL. Vinginevyo kuna ujio wa KANU Tanzania.
Remember one person own everything
You are the doctor
You are the teacher
You are the campain manager
You are the pilot
You are the Banker
Ohooo kila kitu wewe utafanya saaa ngapi na siku ina masaa ishirini na nne
Wape wengine nguvu wakusaidie
walingangania ile ya ni yeyeeCHADEMA tuwanasikia wakituambia
"Uhuru haki na maendeleo ya watu"
CCM sijui wana kauli mbiu ipi?
Huyo ni kwa kanda ya kaskazini tu mkuueti ndio huyu mwenye miwani na kitambi
View attachment 1582177
Kwamba we unawatakia mema ccm, hauki serious, kawape huo ushauri chadema wenye timu unayoiona we nzuri kuliko ya 2015...Habari wakuu,
Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.
Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.
CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.
Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi
Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.
Asante
Yuko buisy kutisha na kuwazomea wapiga kura huwezi kumwonaHabari wakuu,
Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.
Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.
CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.
Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi
Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.
Asante
Uko sahihi mkuu..Kwa kifupi Bashiru, Pole pole na Magufuli sio wanasiasa hata kidogo, wameparamia hiyo fani. Mimi niko upinzani Ila Nape, mzee Makamba na Kinana walikuwa wanasiasa ndani ya CCM. Asikudanye mtu siasa ni fitina.
Habari ya ununuzi wa ndege, SGR, barabara na ujenzi wa mahospitali ni wajibu wa serikali hakuna jipya hapo. CCM inahitaji msaada ili kupambana na TL. Vinginevyo kuna ujio wa KANU Tanzania.
Habari wakuu,
Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.
Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.
CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.
Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi
Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.
Asante
Matope well said.Habari wakuu,
Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.
Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.
CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.
Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi
Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.
Asante
Nape alisoma IndiaKwa kifupi Bashiru, Pole pole na Magufuli sio wanasiasa hata kidogo, wameparamia hiyo fani. Mimi niko upinzani Ila Nape, mzee Makamba na Kinana walikuwa wanasiasa ndani ya CCM. Asikudanye mtu siasa ni fitina.
Habari ya ununuzi wa ndege, SGR, barabara na ujenzi wa mahospitali ni wajibu wa serikali hakuna jipya hapo. CCM inahitaji msaada ili kupambana na TL. Vinginevyo kuna ujio wa KANU Tanzania.
Habari wakuu,
Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.
Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.
CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.
Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi
Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.
Asante