Uchaguzi 2020 Kampeni meneja wa CCM 2020 ni nani? Nayaona makosa ya kiufundi mengi sana

Uchaguzi 2020 Kampeni meneja wa CCM 2020 ni nani? Nayaona makosa ya kiufundi mengi sana

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya

HAWA WA 2015 WAMEAMBIWA WANAWASHWA WASHWA HIVYO WAACHE KUTIA KIWINGU WAKAE KIMYA WAWAACHIE VIJANA!!!!
 
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante
Kama alitukana mamba je, tuliwaambia ccm mgombea wao hauziki hawakusikia,waombe poo kwa tume wabadili mgombea angalau kuambulia hata kura chake.2015 watu waliichoka ccm.2020 ccm na mgombea wake vyote vimechokwa.
Tuendelee kusubiria wakati wa Mungu umefika.
Ukimkosea mwanadamu umemkosea Mungu
 
Kwa kifupi Bashiru, Pole pole na Magufuli sio wanasiasa hata kidogo, wameparamia hiyo fani. Mimi niko upinzani Ila Nape, mzee Makamba na Kinana walikuwa wanasiasa ndani ya CCM. Asikudanye mtu siasa ni fitina.

Habari ya ununuzi wa ndege, SGR, barabara na ujenzi wa mahospitali ni wajibu wa serikali hakuna jipya hapo. CCM inahitaji msaada ili kupambana na TL. Vinginevyo kuna ujio wa KANU Tanzania.

Hata hao wazee wa fitina awafui dafu,ccm mpya imejimaliza yenyewe kwa mateso iliyowafanyia watz
 
Remember one person own everything

You are the doctor

You are the teacher

You are the campain manager

You are the pilot

You are the Banker

Ohooo kila kitu wewe utafanya saaa ngapi na siku ina masaa ishirini na nne

Wape wengine nguvu wakusaidie

Ni mzuri kwenye claiming kuliko kwenye reasoning
 
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante
Kwamba we unawatakia mema ccm, hauki serious, kawape huo ushauri chadema wenye timu unayoiona we nzuri kuliko ya 2015...
 
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante
Yuko buisy kutisha na kuwazomea wapiga kura huwezi kumwona
 
Kwa kifupi Bashiru, Pole pole na Magufuli sio wanasiasa hata kidogo, wameparamia hiyo fani. Mimi niko upinzani Ila Nape, mzee Makamba na Kinana walikuwa wanasiasa ndani ya CCM. Asikudanye mtu siasa ni fitina.

Habari ya ununuzi wa ndege, SGR, barabara na ujenzi wa mahospitali ni wajibu wa serikali hakuna jipya hapo. CCM inahitaji msaada ili kupambana na TL. Vinginevyo kuna ujio wa KANU Tanzania.
Uko sahihi mkuu..

Watu tumechoka kusikia ndege, bwawa, reli na elimu isiyo bure in reality.
Miaka mi5, kila mgombea wao akisimama kwenye jukwaa story ni hizo hizo, hata kama anazindua duka la simu.

Mpaka leo hiki chama hakina slogan ya uchaguzi. Kipo kipo tu. Walijua wanapendwa SANA mitaani, kampeni itakuwa formality tu.

Kinana, Makamba, Mang'ula wanamcheki tu.
Polepole na Bashiru ni bure kabisa pale.
Siasa siyo vyeti ni talent.

Everyday is Saturday............................. 😎
 
Hakuna kosa lolote kampeni za CCM ziko safi tu
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante
 
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante
Matope well said.
Katika Uchaguzi Mkuu huu wa 2020, CCM imefeli vibaya Sana kwenye Uwanja wa Kampeni. Tatizo ni kuwa na Manager Campaign kuwa dhaifu asiye na vision ya ushindi!
Mwaka 2015 CCM walikuwa na Mzee Kinana Kama Meneja Kampeni akisaidiana na Nnape Nauye. Hawa jamaa 2 walikuwa vizuri sana katika kuelezea hoja,Sera, mikakati na Ushawishi kwa Wapiga kura na ndo waliosaidia Magufuli kuingia Ikulu. Ajabu ni kwamba wote Hawa 2 Magufuli aliwatumia kama toilet papers na leo hii wote kawatosa baada ya kutofautiana kimtazamo!!!

Kwa sasa haijulikani kama Bushiri Ali- KM, Bwana Slowslow-Mwenezi au Majaaliwa Kassim- PM ndiwo Campaign managers wa CCM ya Magufuli!!!!
Kinachofanyika ndani ya CCM ni aibu tupu.
 
Ila CCM kumfananisha Polepole na NAPE walibugi sana, NAPE ilee nafasi ya uenezi alikua anaiweza sana yaani yule çcm ilikua damuni
 
Kwa kifupi Bashiru, Pole pole na Magufuli sio wanasiasa hata kidogo, wameparamia hiyo fani. Mimi niko upinzani Ila Nape, mzee Makamba na Kinana walikuwa wanasiasa ndani ya CCM. Asikudanye mtu siasa ni fitina.

Habari ya ununuzi wa ndege, SGR, barabara na ujenzi wa mahospitali ni wajibu wa serikali hakuna jipya hapo. CCM inahitaji msaada ili kupambana na TL. Vinginevyo kuna ujio wa KANU Tanzania.
Nape alisoma India
January alisoma George Mason-Marekani
Kinana alisoma Harvard.
Hupati shida kujua kwamba hawa watu waliandaliwa kitambo na wakaandalika.
 
Habari wakuu,

Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki.

Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini.

CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna majimbo eti mengine weekend ya Septemba 26 ndio yamezindua kampeni rasmi ni maajabu.

Kampeni inayoongozwa na Mh Mgombea wa CCM msemaji Mkuu ni Kampeni Meneja ambaye hayupo hii inafanya kampeni kwenda kinyume na wagombea kuongea watakavyo hawagawani majukumu nani aseme nini na nani afukie wapi

Kuna haja sasa team iliyofanya kampeni 2015 itafutwe kwa nguvu ili waje wafukie mashimo haya.

Asante

We unaona kuna dalili ya kampen meneja pale na mibunduki yote ile?
 
Back
Top Bottom