Uchaguzi 2020 Kampeni meneja wa CCM 2020 ni nani? Nayaona makosa ya kiufundi mengi sana

Uchaguzi 2020 Kampeni meneja wa CCM 2020 ni nani? Nayaona makosa ya kiufundi mengi sana

Nasikia kawaita Ma DED kumhakikishia ushindi wa chama chake au kama hawawezi kazi hiyo basi atafute mbinu nyingine kwa Wateule wake wengine. Bado kuna mvutano wa kimaamuzi. Hali ni mbaya huko ccm wewe endelea kukenua meno huku JF.
HAYA NI MAWEWESEKO YENUU. SUBIRINI OCTOBER, TUMUGALAGAZE YULE BEBERU ALIETOA HIFADHI KWA KIBARAKA KWA MIAKA MITATU.
 
I think macCM are undergoing severe and massive shock ya kwamba wananchi wengi are airing resentment na kuonyesha hasira zao!

This is their problem maana wanajisahau sana na always wako kwenye denial na wana kiburi na wanawadharau WaTZ sana kudhani ni Wajinga na Wapumbavu!

Safiri tutawafanyia kitu kibaya hamtakisahau kwenye sanduku la kura
 
I think macCM are undergoing severe and massive shock ya kwamba wananchi wengi are airing resentment na kuonyesha hasira zao!

This is their problem maana wanajisahau sana na always wako kwenye denial na wana kiburi na wanawadharau WaTZ sana kudhani ni Wajinga na Wapumbavu!

Safiri tutawafanyia kitu kibaya hamtakisahau kwenye sanduku la kura
Hivi bado mnategemea kushinda?[emoji1787]
 
Nape na Makamba wapo karibu na Membe na mpaka wameachiwa majimbo Sasa hapo utawaunganishaje kwenye kampeni Kama siyo kuferisha timu?
 
Kabisa njia nyeupe kabisaaaaa, yaani jukwaani wanashangaza sana kila mtu anasema hovyo. Hawajipangi mtiririko wa wasemaji hawapo wamebaki kusema sema kwenye mitandao tu.
Nimeshangaa ile juzi magufuli kasema vitambulisho sio lazima baada ya Lissu kuibua mambo ya vitambulisho alafu baada ya siku mbili pole pole anakuja kutetea vitambulisho kuonesha kama ni lazima 😂😂😂😂

Hapo ndo niliamini Ccm kweli wamepoteana
 
Kwa kifupi Bashiru, Pole pole na Magufuli sio wanasiasa hata kidogo, wameparamia hiyo fani. Mimi niko upinzani Ila Nape, mzee Makamba na Kinana walikuwa wanasiasa ndani ya CCM. Asikudanye mtu siasa ni fitina.

Habari ya ununuzi wa ndege, SGR, barabara na ujenzi wa mahospitali ni wajibu wa serikali hakuna jipya hapo. CCM inahitaji msaada ili kupambana na TL. Vinginevyo kuna ujio wa KANU Tanzania.



Chapisho lako nimelipenda!
 
Chadema mlivyo na kidomodomo muone ccm tunakosea halafu mtushtue??? Tulieni dawa iwaingie vizuri
Mhhh...wagombea wenyewe kama sampuli hii..inatia shaka sana mkuu.
FB_IMG_16012214838911932.jpg
FB_IMG_16010341421617807.jpg
FB_IMG_16012229772025004.jpg
FB_IMG_16006092389105784.jpg
 
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyo
Mitano Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mitano Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyo
 
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyo
Endelea kuota.
Mimi si mwanachama wa chama chochote.
Sina kadi ya chama chochote
 
Back
Top Bottom