Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
HAYA NI MAWEWESEKO YENUU. SUBIRINI OCTOBER, TUMUGALAGAZE YULE BEBERU ALIETOA HIFADHI KWA KIBARAKA KWA MIAKA MITATU.Nasikia kawaita Ma DED kumhakikishia ushindi wa chama chake au kama hawawezi kazi hiyo basi atafute mbinu nyingine kwa Wateule wake wengine. Bado kuna mvutano wa kimaamuzi. Hali ni mbaya huko ccm wewe endelea kukenua meno huku JF.