Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
HAYA NI MAWEWESEKO YENUU. SUBIRINI OCTOBER, TUMUGALAGAZE YULE BEBERU ALIETOA HIFADHI KWA KIBARAKA KWA MIAKA MITATU.Nasikia kawaita Ma DED kumhakikishia ushindi wa chama chake au kama hawawezi kazi hiyo basi atafute mbinu nyingine kwa Wateule wake wengine. Bado kuna mvutano wa kimaamuzi. Hali ni mbaya huko ccm wewe endelea kukenua meno huku JF.
Hivi bado mnategemea kushinda?[emoji1787]I think macCM are undergoing severe and massive shock ya kwamba wananchi wengi are airing resentment na kuonyesha hasira zao!
This is their problem maana wanajisahau sana na always wako kwenye denial na wana kiburi na wanawadharau WaTZ sana kudhani ni Wajinga na Wapumbavu!
Safiri tutawafanyia kitu kibaya hamtakisahau kwenye sanduku la kura
Mimi nategemea kukulala weweHivi bado mnategemea kushinda?[emoji1787]
Bado unaamini kwamba atashinda!?[emoji1787][emoji1787]Mimi nategemea kukulala wewe
Nani atashinda ?Bado unaamini kwamba atashinda!?[emoji1787][emoji1787]
Mgombea wenu hawezi kushindaNani atashinda ?
Nimeshangaa ile juzi magufuli kasema vitambulisho sio lazima baada ya Lissu kuibua mambo ya vitambulisho alafu baada ya siku mbili pole pole anakuja kutetea vitambulisho kuonesha kama ni lazima 😂😂😂😂Kabisa njia nyeupe kabisaaaaa, yaani jukwaani wanashangaza sana kila mtu anasema hovyo. Hawajipangi mtiririko wa wasemaji hawapo wamebaki kusema sema kwenye mitandao tu.
Kwa kifupi Bashiru, Pole pole na Magufuli sio wanasiasa hata kidogo, wameparamia hiyo fani. Mimi niko upinzani Ila Nape, mzee Makamba na Kinana walikuwa wanasiasa ndani ya CCM. Asikudanye mtu siasa ni fitina.
Habari ya ununuzi wa ndege, SGR, barabara na ujenzi wa mahospitali ni wajibu wa serikali hakuna jipya hapo. CCM inahitaji msaada ili kupambana na TL. Vinginevyo kuna ujio wa KANU Tanzania.
Mgombea hawezi kushindaMgombea wenu hawezi kushinda
Mhhh...wagombea wenyewe kama sampuli hii..inatia shaka sana mkuu.Chadema mlivyo na kidomodomo muone ccm tunakosea halafu mtushtue??? Tulieni dawa iwaingie vizuri
Kumbe unajua!Mgombea hawezi kushinda
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyoKumbe unajua!
Vizuri
Mitano Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyo
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyoMitano Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kuota.Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyo
Ile kauli mbiu ya Tz ya viwanda imeishia wapi?Chadema mlivyo na kidomodomo muone ccm tunakosea halafu mtushtue??? Tulieni dawa iwaingie vizuri